The Eagle’s House

The Eagle’s House This is official page for The Eagle’s House church which locate in Washington, Seattle.

Watu wa Mungu, ninawakaribisha kwa moyo wangu wote kwenye Ibada ya Maombi na Maombezi leo. Ni wakati wa kusimama pamoja ...
09/08/2026

Watu wa Mungu, ninawakaribisha kwa moyo wangu wote kwenye Ibada ya Maombi na Maombezi leo. Ni wakati wa kusimama pamoja katika uwepo wa Mungu, kumsifu, kulisikia Neno lake na kuleta mahitaji yetu mbele zake kwa imani.

Usije peke yako—mwalike na mwingine. Ninaamini Mungu ana jambo maalum kwa ajili yako leo.

Saa 11:30 jioni hadi 1:30 usiku
Runngwe Hotel, Sinza Afrika Sana.

Karibu sana, nitafurahi kukuona.

09/07/2026

Omba. Mungu atakusaidia katika jambo lolote unalopitia.

Usibebe kila kitu kwa nguvu zako mwenyewe. Mpelekee Mungu mahangaiko yako, mwamini na endelea kusonga mbele. Kuna mambo ambayo huwezi kuyatatua kwa nguvu zako, lakini Mungu anaweza kuyafanya.

Starting Monday like…..🏃💪🏋️🦅
09/07/2026

Starting Monday like…..🏃💪🏋️🦅

09/06/2026

Sisi k**a Kanisa The Eagles House , tunapenda sana kutumia muda wa kutosha katika kumsifu na kumuabudu Mungu wetu. Nimesema nikuonjeshe kipande kidogo cha wakati tukiabudu leo. Karibu sana ibadani, tutafurahi kuwa na wewe katika moments k**a hizi.

Go to church 🦅
09/06/2026

Go to church 🦅

Jumapili hii tunakutana tena k**a kawaida katika uwepo wa Mungu; The Eagles House. Njoo tusifu, tuabudu, tupokee Neno na...
09/05/2026

Jumapili hii tunakutana tena k**a kawaida katika uwepo wa Mungu; The Eagles House. Njoo tusifu, tuabudu, tupokee Neno na kuomba pamoja. Usikose—Mungu ana jambo kwa ajili yako!

📍 Rungwe Hotel, Sinza Afrika Sana, DSM
🕒 3PM

Usije pekee yako, mkaribishe na mwengine!

09/04/2026

Salama yetu ipo magotini.

Pale mambo yanapokwama na huoni njia ya kutoka, usikimbilie kujipambania kwa nguvu zako mwenyewe. Rudi kwa Baba. Piga magoti, omba, mwambie Mungu kila kitu na umtumaini kwa moyo wote.

Wakati mwingine suluhisho si kupambana zaidi, bali kurudi kwenye uwepo wa Mungu.

Good morning ☀️🦅
09/04/2026

Good morning ☀️🦅

Mtaje mwengine unayemjua, ambaye hupenda kukaa kwenye kidirisha cha ✈️ 😀 mimi naanza na Mama yenu Martha Mpungu , yani h...
09/03/2026

Mtaje mwengine unayemjua, ambaye hupenda kukaa kwenye kidirisha cha ✈️ 😀 mimi naanza na Mama yenu Martha Mpungu , yani hanipishagi😂😂

09/03/2026

Mtu anayempenda Mungu hutafuta muda wa kutosha kukaa magotini mbele Zake.

Maombi si wajibu tu, ni njia ya kuwasiliana na Mungu, kumsikiliza na kujenga uhusiano wa karibu Naye. Ukimpenda Mungu, utatamani kutumia muda zaidi katika uwepo Wake.

Address

Auburn, WA
98001

Opening Hours

Friday 4pm - 6pm
Sunday 1pm - 3pm

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Eagle’s House posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to The Eagle’s House:

Shortcuts

Share