Pentecostal Assemblies Of God TZ Zanzibar

Pentecostal Assemblies  Of God TZ Zanzibar Karibu kwa USHAURI wa KIROHO kwa misingi ya Biblia.

Jumapili
a. 08:00 - 09:00 - Maombi
b. 09:00 - 09:30 Sunday School
c. 09:30 - 12:30 Ibada Kuu

🌍 Google Map
Pentecoste Assembies of God TZ Zanzibar

Chukwani Zanzibar

+255713254045 BWANA YESU ASIFIWE Mpendwa msomaji lengo la ukurasa huu ni kujifunza neno la MUNGU Pamoja na kusaidiana kwa ushauri wa Kiroho (biblical) pamoja na maombezi karibu sana tujifunze pamoja.

27/04/2026

Namna pekee ya wewe kuwa salama ni Mungu kuwa upande wako na ili awe upande wako ni lazima uumimine moyo wako kwake na uzishike amri zake. Yohana 14:15 — “Mkinipenda, mtazishika amri zangu.” Na matamanio ta Mungu ni kumpata mtu atakayempenda na kumtumikia Yohana 12:26 — “Mtu akinitumikia, na anifuate… na Baba atamheshimu yeye anitumikiae.” Usipo mtumikia Mungu utamtumikia shetani, ni vyema ukafanya uchaguzi mzuri. Maana Mungu ameahidi hatatuacha kamwe.

Bishop Amos Rukanula

Ibada ya Jana ilikuwa ya baraka sana
20/04/2026

Ibada ya Jana ilikuwa ya baraka sana

12/04/2026
Uwepo wa Yesu kwenye maisha yetu ndicho kitu pekee kinaweza kutusaidia kuondoa kila aina ya udhaifu wetu, Jumapili hii t...
09/04/2026

Uwepo wa Yesu kwenye maisha yetu ndicho kitu pekee kinaweza kutusaidia kuondoa kila aina ya udhaifu wetu,
Jumapili hii tunakutana pale PAG Chukwani, kuutafuta na kuomba UWEPO wa Mungu ili ukae nasisi, ili kila aina ya udhaifu, magonjwa na mateso yasitutese tena.
Mwalike na mwenzio

K**a isingekuwa Yesu kujitoa sadaka kufa kwa ajili yetu, tusingepata wokovu mkuu namna hii, Jumapili hii pale PAG CHUKWA...
04/04/2026

K**a isingekuwa Yesu kujitoa sadaka kufa kwa ajili yetu, tusingepata wokovu mkuu namna hii, Jumapili hii pale PAG CHUKWANI tutakuwa tukisherekea na kumshukuru Mungu na kukumbuka jinsi alivyotuokoa kupitia mwanae wa pekee YESU, aliyekufa bila dhambi wala hatia ili sisi wenye dhambi, hatia, magonjwa na laana TUOKOLEWE. Ni Kuanzia saa mbili asubuhi. Usipange kukosa.

02/04/2026

Mungu wetu ni wa kuabudiwa kila wakati.

Wakupewa salute ni Mungu tu maana ndo ana uhai wetu

22/03/2026

Ombeni, nanyi mtapewa; tafuteni, nanyi mtaona; bisheni, nanyi mtafunguliwa; kwa maana kila aombaye hupokea; naye atafutaye huona; naye abishaye atafunguliwa.
@ Matthew 7:7-8

10/03/2026

Furaha yetu ni kwa sababu Bwana anatufurahia anapo tuona

Upendo wa Mungu kwetu ni mkubwa sana na hauna ukomo na nia ya Mungu ni kumpata mtu mmoja  atakae muabudu katika roho na ...
08/03/2026

Upendo wa Mungu kwetu ni mkubwa sana na hauna ukomo na nia ya Mungu ni kumpata mtu mmoja atakae muabudu katika roho na kweli. Upendo wake hauna mipaka, ni wa kila kabila, dini, taifa na lugha. What a sunday service.

06/03/2026

Yesu ndiye wa kuokoa pekee
Ndugu, Kazi, wazazi, Kazi n.k waheshimiwe kwa nafasi zao
ILA MUNGU pekee ndio wa KUABUDIWA

13/09/2025

Watoto Day Watoto Day Watoto Day
14/09/2025

Hiii si ibada ya kukosa njoo ujione jinsi watoto watakavyo isimamia ibada na kuongoza watu wa Mungu kuabudu.
Hili ni taifa la kesho

Address

CHUKWANI
Zanzibar

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Pentecostal Assemblies Of God TZ Zanzibar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Pentecostal Assemblies Of God TZ Zanzibar:

Share