27/04/2026
Namna pekee ya wewe kuwa salama ni Mungu kuwa upande wako na ili awe upande wako ni lazima uumimine moyo wako kwake na uzishike amri zake. Yohana 14:15 — “Mkinipenda, mtazishika amri zangu.” Na matamanio ta Mungu ni kumpata mtu atakayempenda na kumtumikia Yohana 12:26 — “Mtu akinitumikia, na anifuate… na Baba atamheshimu yeye anitumikiae.” Usipo mtumikia Mungu utamtumikia shetani, ni vyema ukafanya uchaguzi mzuri. Maana Mungu ameahidi hatatuacha kamwe.
Bishop Amos Rukanula