Zicc kariakoo

Zicc kariakoo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Zicc kariakoo, Religious organisation, P. O. Box 1632, Zanzibar City.

We are a Pentecostal church (Assembly of God affiliations) in Zanzibar, with the growing in Multinational membership hence Called Zanzibar International Christian Center

Mungu aliendelea kujidhihirisha kwa nguvu katika ibada ya jana Jumapili hapa Zicc kariakoo. Baada ya Neno la Mungu kuhub...
01/06/2026

Mungu aliendelea kujidhihirisha kwa nguvu katika ibada ya jana Jumapili hapa Zicc kariakoo. Baada ya Neno la Mungu kuhubiriwa na Mtumishi wa Mungu Mchungaji Ruchagula, watu wengi waliombewa na kuguswa na nguvu za Mungu.

Tunamshukuru Mungu kwa kufungua vifungo, kuleta uponyaji, kurejesha matumaini na kuwagusa watu wake kwa namna mbalimbali. Hakika, ambapo Roho wa Bwana yupo, pana uhuru.

Utukufu wote ni wa Mungu ambaye anaendelea kutenda makuu katikati ya watu wake.

Neno la Mungu lilihubiriwa na Mtumishi wa Mungu, Mchungaji Ruchagula, akiwasilisha ujumbe wenye mafundisho, faraja na mw...
01/06/2026

Neno la Mungu lilihubiriwa na Mtumishi wa Mungu, Mchungaji Ruchagula, akiwasilisha ujumbe wenye mafundisho, faraja na mwelekeo kwa watu wa Mungu.

Tunamshukuru Mungu kwa Neno lake lililoleta ujenzi wa kiroho na kuimarisha imani za waumini. Hakika, Neno la Mungu ni taa ya miguu yetu na mwanga wa njia yetu.

Karibu tena ZICC Kariakoo kwa ibada zetu zijazo upate kushiriki baraka na uwepo wa Mungu.

.

πŸŽΆπŸ™Œ Kusifu na kuabudu kulijaza uwepo wa Mungu katika ibada ya jana Jumapili hapa Zicc kariakoo. Kupitia huduma ya Yadah P...
01/06/2026

πŸŽΆπŸ™Œ Kusifu na kuabudu kulijaza uwepo wa Mungu katika ibada ya jana Jumapili hapa Zicc kariakoo. Kupitia huduma ya Yadah Praise Team, tulipata nafasi ya kumwabudu Mungu kwa moyo wote na kumuinua kwa sifa zinazomstahili.

Tunamshukuru Mungu kwa neema ya ibada yenye baraka, furaha na mguso wa kipekee wa Roho Mtakatifu. Hakika pale ambapo sifa na kuabudu vinapoinuliwa, Mungu hutenda mambo makuu katikati ya watu wake.

01/06/2026


01/06/2026



πŸ“– DARASA LA WAONGOFU WAPYA πŸ“–Jana Jumapili, kwenye darasa la waongofu wapya lilifundishwa somo somo lenye kichwa "IJUE BI...
01/06/2026

πŸ“– DARASA LA WAONGOFU WAPYA πŸ“–

Jana Jumapili, kwenye darasa la waongofu wapya lilifundishwa somo somo lenye kichwa "IJUE BIBLIA", likifundishwa na Mtumishi wa Mungu Pastor Gwagwala.

πŸ“– Andiko Kuu:
2 Petro 1:20-21 na 2 Timotheo 3:16

Kupitia somo hili, washiriki walijifunza kuhusu asili ya Neno la Mungu, uhalisi wa Maandiko Matakatifu, na umuhimu wa kulijua na kulifuata katika maisha ya kila siku.

πŸ”Ή Darasa hili hufanyika kila Jumapili kuanzia saa 2:00 asubuhi.
πŸ”Ή Limeandaliwa maalum kwa ajili ya waongofu wapya.
πŸ”Ή Hata hivyo, wote waliookoka zamani mnakaribishwa kujifunza zaidi na kukua katika maarifa ya Neno la Mungu.

"Lijue Neno, liishi Neno, na uone nguvu za Mungu zikifanya kazi maishani mwako."

27/05/2026

Zanzibar Revival Singers (ZARES)

Address

P. O. Box 1632
Zanzibar City

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255652631172

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Zicc kariakoo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Zicc kariakoo:

Share