Efatha Ministry Usa-River

Efatha Ministry Usa-River Karibu kwenye Kurasa hii tushiriki pamoja matendo na miujiza ya BWANA Yesu Kristo,
kupitia watumishi wake katika kituo cha Efatha Ministry usa-river..

HALELUYA WANA WA MUNGU.MAANDALIZ YA KONGAMANO YANAENDELEA, SIKU YA KUANZA NI LEO FANYA USIKOSE TAFADHALI WAALIKE  NA WEN...
16/08/2017

HALELUYA WANA WA MUNGU.
MAANDALIZ YA KONGAMANO YANAENDELEA,
SIKU YA KUANZA NI LEO FANYA USIKOSE TAFADHALI WAALIKE NA WENGINE,
NI LEGANGA USA RIVER ARUSHA-UKISHUKA LEGANGA,FIKA NYUMA YA MERU COMMUNITY BANK UTATUKUTA...

KARIBISHA WOTE, KARIBUNI NYOTE, USIPANGE KUIKOSA HII!!!...
10/08/2017

KARIBISHA WOTE, KARIBUNI NYOTE, USIPANGE KUIKOSA HII!!!...

IBADA YA KUABUDU NA KUSIFU....KARIBU KANISANI EFATHA MINISTRY USA RIVER,KANISA LIPO LEGANGA USA RIVER ARUSHA WILAYA YA M...
18/12/2016

IBADA YA KUABUDU NA KUSIFU....
KARIBU KANISANI EFATHA MINISTRY USA RIVER,KANISA LIPO LEGANGA USA RIVER ARUSHA WILAYA YA MERU, SHUKIA STAND YA POSTA,HALAFU FUATA NJIA HADI SHELI ILIYOKARIBU NA POSTA, KISHA KUNA NJIA NG'AMBO YA SHELI (YAANI UKIVUKA BARABARA), FUATA HIYO NJIA HADI MWISHO UTAKUTANA NA JENGO LETU MAHALI LILIPO...AU UKISHUKA LEGANGA,ULIZIA KANISA LA EFATHA MINISTRY LILILO JUU YA NDESAMBURO LODGE, UTAFIKISHWA...WOTE MNAKARIBISHWA...

25/11/2016
KATIKA NYUMBA YA BWANA KUNA RAHA YA AJABU...KARIBUNI WATU WOTE KWENYE IBADA ZINAZOENDELEA KANISANI KWETU EFATHA MINISTRY...
24/11/2016

KATIKA NYUMBA YA BWANA KUNA RAHA YA AJABU...
KARIBUNI WATU WOTE KWENYE IBADA ZINAZOENDELEA KANISANI KWETU EFATHA MINISTRY USA RIVER ARUSHA KILA SIKU YA JUMAPILI KUANZIA SAA3 ASUBUHI....

Ni kuanzia jumatano ya tarehe 9 mwez wa 3 mwaka 2016 kanisani Efatha Ministry Usa River kuanzia saa 9 na nusu jioni,Hadi...
08/03/2016

Ni kuanzia jumatano ya tarehe 9 mwez wa 3 mwaka 2016 kanisani Efatha Ministry Usa River kuanzia saa 9 na nusu jioni,
Hadi siku ya jumapili.
Ni semina ya kinabii itakayohudiwa na Nabii Herry Nelson wa Efatha Ministry Zanzibar...
Usipange kukosa semina hii ya kipekee,
Jiandae kupokea uponyaji,miujiza na kila unalohitaji toka kwa mwenye uweza wa yote kupitia wapakwa mafuta wa BWANA.
KARIBU SANA!!!

12/11/2013

HALELUYA!
WOTE MNAKARIBISHWA KWENYE HARUSI YA KIJANA WETU MPENDWA (MPIGA GITAA WETU)
Bw.Steven atakayefunga ndoa na Bi.Agnes (Wote wa hapahapa),
hapa kanisani Efatha Ministry Usa-River siku ya jumatano ya tarehe 13 mwezi huu wa 11 na mwaka huu wa 2013 na tafrija itafanyika hapa hapa kanisani,
fika bila kukosa ushiriki baraka hizi na maharusi hawa...

09/11/2013

YOUR A GRETEST CHAMPION AMONG OF THE CHAMPIONS,
hit Amen if yuo believe in Jesus Christ

"EFATHA" maana yake "FUNGUKA"NI KATIKA IBADA YA JUMAPILI HII KAISANI EFATHA MINISTRY USA-RIVER!, KUPITIA PROPHET BARAKA ...
24/06/2013

"EFATHA" maana yake "FUNGUKA"
NI KATIKA IBADA YA JUMAPILI HII KAISANI EFATHA MINISTRY USA-RIVER!, KUPITIA PROPHET BARAKA LYIMO.

SHUHUDA!MAMA ALIYEKUWA NA NDOTO ZA AJABU USIKU AFUNGULIWA NA BWANA YESU BAADA YA KUOMBEWA NA NABII WA BWANA BARAKA LYIMO...
19/06/2013

SHUHUDA!
MAMA ALIYEKUWA NA NDOTO ZA AJABU USIKU AFUNGULIWA NA BWANA YESU BAADA YA KUOMBEWA NA NABII WA BWANA BARAKA LYIMO KANISANI EFATHA MINISTRY USA-RIVER.

09/06/2013

TUNAWAKARIBISHA WOTE KATIKA SEMINA YA UPONYAJI NA UKOMBOZI KWA DAMU YA YESU...
ITAKAYOFANYIKA KATIKA KANISA LA EFATHA MINISTRY USA-RIVER KUANZIA TAR: 11-06-2013 HADI TAR: 17-06-2013,
SEMINA ITAONGOZWA NA VIJANA WALIOPAKWA MAFUTA KWA AJILI YA KAZI MAALUMU.

Prophet Baraka Lyimo akimtolea dada mmoja unabii katika ibada ya kinabii iliyofanyika kanisani Efatha Ministry usa-river...
06/06/2013

Prophet Baraka Lyimo akimtolea dada mmoja unabii katika ibada ya kinabii iliyofanyika kanisani Efatha Ministry usa-river.

Address

Usa River

Telephone

+255763480481

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Ministry Usa-River posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share