Efatha Church Usa River

Efatha Church Usa River Healing and Deliverance by the Blood of Jesus
(1)

Ibada ya Jumapili May 29, 2022Na Mch. Camilius Somo: Kutoka katika mikandamizoIsaya 1:19Kula mema ya nchi, lazima ukubal...
29/05/2022

Ibada ya Jumapili May 29, 2022
Na Mch. Camilius
Somo: Kutoka katika mikandamizo

Isaya 1:19
Kula mema ya nchi, lazima ukubali na kutii.
1 King 19:

Ili kutoka kwenye mkandamizo:
1. Lazima ukubali na kutii
2. Lazima uwe tofauti na wengine Ufunuo 22:8
- Jifunze kushika neno la Mungu.
3. Lazima ujue namna ya kutembea katka utakatifu
- Jifunze kutoa sadaka za ukombozi mara kwa mara.
- inakusaidia kukupa ulinzi Ili usimilikiwe na jamii ya kwenu.
- Tunatoa sadaka Ili kujiondoa kwenye kizazincha laana na kuingia kwenye kizazi kilichobarikiwa na BWANA.
- Ukitoa unmauonesha Mungu kua huna mahali pengine pa kukimbilia Ila kwake.
- Ukitoa, Mungu mwenyewe anakuchukua kua wakwake

Hapa inakupasa wewe mwenyewe kuwa na maamuzi magumu Ili kutoka. Maamuzi magumu yanagharama zake, lakini yatakutoa katika utupu wa umaskini na kizazi cha laana.

Yakobo aliitwa yakobo mpaka Rachel alipofariki, ndipo alipewa Jina jipya la Israel. Mungu atakubariki baada ya wewe kutengwa na kinachokuzuilia yaani adui yako.
Zile roho za kuzaliwa na zakuona na kuolewa, zikikutana k**a huna neema ya Mungu maisha yanaishia hapo. Tafuta Sana rehema za Mungu.

07/05/2022
Ibada ya Jumapili April 24, 2022Na Mama Mchungaji Jane CamiliusSomo: UpendoMungu ni pendo.Je unatembea katika pendo? Maa...
24/04/2022

Ibada ya Jumapili April 24, 2022
Na Mama Mchungaji Jane Camilius
Somo: Upendo

Mungu ni pendo.
Je unatembea katika pendo? Maana kanisa likiwa na upendo shetani hapati nafasi.
- Upendo wa mtu hudhihirishwa na matendo yake kwa yule au kile anachokipenda.
- Upendo wa Mungu hudhihirika kwa matendo.
1Wakorintho 13:1- “Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, k**a sina upendo nimekua shaba iliayo na upatu uvumao…”
Katika yote, kinachotakiwa ni pendo la Mungu likae ndani yako. Maana safari ya mbinguni inaongozwa na pendo.
Tumeamini ndio maana tumekuja kwa Yesu; ila kuamini wako, pasipo upendo ni bure.
- Tafuta sana pendo la Mungu uliishi. Maana ukiliishi shetani hapati nafasi.
- Pendo la Mungu limetuvuta. Yoh 3:16 “Kwamaana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu; hata akamtoa mwanae wa pekee…”
**Hakikisha pendo la Mungu linakusumbua ndani yako kwa jinsi unavyowatazama wengine; yaani uumie kwaajili ya wengine.
Kolosai 3:14 “Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo; ndio kifungo cha ukamilifu”
Amri zote za Mungu zinakamilishwa na pendo.
1Korintho 13:4-8 “Upendo huvumilia, hufadhili; upendo hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchungu; hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu, bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia yote; huamini yote; hutumaini yote; hustahimili yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote; bali ukiwapo unabii utabatilika; zikiwapo lugha, zitakoma; yakiwapo maarifa, yatabatilika.”
Sasa jipime kwamba je hilo pendo lipo ndani yako?
Mpe Mungu nafasi ya kwanza kwenye maisha yako naye atakufanikisha. Mtangulize yeye kila wakati na si mambo yako.

Natamani kufanana na Yesu Moyo wangu...
24/04/2022

Natamani kufanana na Yesu Moyo wangu...

04/04/2022
03/04/2022

IBADA YA JUMAPILI - EFATHA CHURCH MWENGE

27/03/2022

Karibu katika Ibada ya Jumapili ya tarehe 27/3/2022 katika Kanisa la Efatha Mwenge Dar es salaam Tanzania, Ibada itaongozwa na Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na itakua Live kupitia TRENET TV na mitandao yetu yote ya Kijamii, popote ulipo usikose kufuatilia Ibada hii.

IBADA YA JUMAPILI MARCH 20, 2022NA MCH. CAMILIUS KILENGASOMO: VITA KATIKA ULIMWENGU WA ROHOJe unajua vita yako katika ul...
20/03/2022

IBADA YA JUMAPILI MARCH 20, 2022
NA MCH. CAMILIUS KILENGA
SOMO: VITA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO

Je unajua vita yako katika ulimwengu wa Roho?
Kuna vita katika ndoa, kazi, elimu, uchumi na biashara na katika maeneo mengi ya maisha.
Bwana amemtuma mtumishi wake kwaajili ya mtu mmoja aliyemkusudia. Luka 4:25-27
Omba kwa kumaanisha na utauona mkono wa BWANA.
Maombi:
1. Maombi ya toba. Isaya 54:7 “Kitambo kidogo nimekuacha; lakini kwa rehema nyingi nitakukusanya.”
2. Shughulikia jina lako mahali popote lilipofichwa
3. Shughulikia mizimu ya ukoo na ya kikabila inayotembea na jina lako.
4. Chukua hatima yako aliyo kua amekunyang’anya adui.
5. Mnyanyue adui aliyekaa kwenye kiti chako.

IBADA YA JUMAPILI MARCH 13, 2022NA MCH. CAMILIUS GODFREY KILENGA SOMO: DAWA YA KUMSHINDA ADUI YAKOKila ugonjwa una dawa ...
13/03/2022

IBADA YA JUMAPILI MARCH 13, 2022
NA MCH. CAMILIUS GODFREY KILENGA
SOMO: DAWA YA KUMSHINDA ADUI YAKO

Kila ugonjwa una dawa yake hapa duniani. Mfano malaria ina dawa yake. Pia mambo ya kiroho ili tuweze kushinda, kila jambo lina dawa yake.
Ufunuo 3:10-11 “Kwakuwa umelishika neno la subira yangu, mimi name nitakulinda, otoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi. Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.”
Anaetwaa taji ya mtu ni mtu mwingine, hivyo angalia sana wasichukue taji yako.
**Siri ya kushinda ipo katika kinywa chako.
- Maneno ya kinywa chako yasiwe hasi mbele za Mungu
- Ili ushinde, linda sana maneno ya kinywa chako
1Sam 17:20- Habari ya Daudi kumuua Goliathi na kuwashinda wafilisti.

Address

Usa River

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Usa River posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Efatha Church Usa River:

Share