Elgibo Christian Center -ECC

Elgibo Christian Center -ECC Elgibo Christian Center ni Kanisa Linalotoa Huduma za Kiroho, kuwafanya watu kuwa wanafunzi wa Yesu.

Historia inatuonesha kuwa katika miaka ya mwanzo kanisa lilisimamiwa na wamishonari wa kimarekani pamoja na wachungaji wa kiafrika wakati huo {Yohana Mpayo [Marehemu] na Petros) waliokuwa maaskofu chini ya Assemblies of God Mission. Kanisa liliendelea kuongozwa katika mfumo huo hadi mwaka 1967. Kanisa la kwanza kabisa la TAG lilikuwapo pale Igale wilaya ya Mbalizi mkoani Mbeya. Ni mwaka huo wa 196

7, uongozi wa Assemblies of God Mission, uliamua kulikabidhi kanisa kwa uongozi wa wenyeji na Mchungaji Immanuel Lazaro, alichaguliwa kuwa Askofu Mkuu wa kwanza mtanzania wa kuongza Tanzania Assemblies of God (TAG). Kanisa hili liiingia hapa nchini k**a matokeo ya uamsho mkubwa wa Kipentekoste uliotokea kule Azuza Marekani. Hivyo lengo kuu la kuanzishwa kwa kanisa ni kuwafikia wenye dhambi kwa injili iliyo hai, iletayo wokovu na kuleta uamsho mkubwa wa Bwana wetu Yesu Kristo hapa nchini. ili kutimiza lengo hilo ilikuwa lazima watendakazi shambani mwa Bwana waandaliwe tangu utoto.

Imetupasa kuomba siku zote maana sisi ni WATU wa IBADA muda wote Luka 18:1
09/10/2025

Imetupasa kuomba siku zote maana sisi ni WATU wa IBADA muda wote Luka 18:1

Kilele Cha Siku ya WWK 2025 Kanisa la Eligibo Christian Center Makumira/Kilala Elgibo Christian Center -ECC   matukio ka...
16/04/2025

Kilele Cha Siku ya WWK 2025 Kanisa la Eligibo Christian Center Makumira/Kilala

Elgibo Christian Center -ECC matukio katika picha.

Bwana Yesu asifiwe sana, Hongera mwana wa Mungu Kwa Wiki ya kuziendea rehema za Mungu zilizopo kwenye Agano la Damu ya Y...
16/04/2025

Bwana Yesu asifiwe sana, Hongera mwana wa Mungu Kwa Wiki ya kuziendea rehema za Mungu zilizopo kwenye Agano la Damu ya Yesu. Katika kuelekea Sikukuu ya Pasaka Kanisa Letu, Tutatuwa na Ibada Siku ya Ijumaa kuanzia saa 9Alasiri.

Njoo ukiwa na matarajio na Mungu atakutendea vema katika Jina la Bwana Yesu, njoo na Familia yako, na rafiki yako zaidi Sana usimwache jirani yako. Fanyika Baraka kwenye Maisha yake.

Mathayo 28:1-6
[1]Hata sabato ilipokwisha, ikipambazuka siku ya kwanza ya juma, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.

[2]Na tazama, palikuwa na tetemeko kubwa la nchi; kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaja akalivingirisha lile jiwe akalikalia.

[3]Na sura yake ilikuwa k**a umeme, na mavazi yake meupe k**a theluji.

[4]Na kwa kumwogopa, wale walinzi wakatetemeka, wakawa k**a wafu.

[5]Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulibiwa.

[6]Hayupo hapa; kwani amefufuka k**a alivyosema. Njoni, mpatazame mahali alipolazwa.

29/11/2023

JIFUNZE KUMTEGEMEA MUNGU WAKATI UNAPOPITIA MAHALA PAGUMU EV. ALEX MLAMBA Tanzania Assemblies of God

ZAWADI KUU TATU ZA MUNGU.Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa,kwa kumjua yeye ...
21/11/2023

ZAWADI KUU TATU ZA MUNGU.

Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa,kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utikufu wake na wema wake mwenyewe (2Petro 1:3).

Kuna zawadi kuu tatu za Mungu katka Kristo Yesu tulizopewa kwa kupitia Injili.Nazo ni zawadi ya uzima wa milele,zawadi ya haki,na zawadi ya Roho Mtakatifu.

Warumi 6:23 inatuambia"....bali karama ya Mungu ni Uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu."Uzima wa milele ni uzima wa kiungu uliopewa ulipozaliwa mara ya pili. Uzima huu hauko sawa na uzima wa kibinadamu;ni uzima halisi wa Mungu. Huwezi kuufanyia kazi ili uupate uzima wa milele;huwezi kuupata kwa kulipia gharama yoyote;ni zawadi kutoka kwa Mungu. Bila uzima wa milele huwezi kuwa na asili sawa na ya Mungu; kusingekuwa na ushirika,hivyo kusingekuwa na uhusiano.
Haki pia ni zawadi. Warumi 5:17 inasema, "...zaidi sana wao wapokeao wingi wa neema, na kile kipawa cha haki, watatawala katika Uzima kwa yule mmoja, Yesu Kristo." Haki ni asili ya Mungu ambayo inaezea usahihi wake:Ni asili yake na uwezo wa kuwa sahihi wakati. Huwa hakosei daima;na anapoweka asili hiyo na huo uwezo katika roho yako, ndipo unaweza kutembea sawa sawa na kusudi lake na kumpendeza katika maisha yako, nawe unaweza kusimama mbele zake bila kuwa na hisia zozote za kuhulumiwa,kutojithamini au kujiona mwenye makosa.
Roho Mtakatifu pia ni zawadi ya za Mungu kwetu. Mtumie Mtumie Petro alisema katika Matendi 2:38,"Tubuni mkabatizwe kila Jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu."Roho Mtakatifu ni Mungu akitenda kazi ndani yetu. K**a Mkristo,unamhitaji Roho Mtakatifu ili uishi maisha ya ushindi katika Kristo. Hii ndiyo sababu Bwana Yesu alisema, "Nami nitamuomba baba, naye atawapa msaidizi mwingine..."( Yohana 14:16)
Roho Mtakatifu alikuja ili kukusaidia uishi maisha ya kikristo kwa sababu hakuna mtu wa kawaida awezaye kuishi maisha ya Ukristo. By Rev. Paradiso Lema

19/11/2023

Waebrania 11:1
Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

19/11/2023

Sunday Service 19||11||2023 NENO KUU: KUSUBIRI AHADI ZA MUNGU KWA IMANI Waebrania 11:1 Kutazama ibada yote ingia YouTube Christian Center

Karibu kwenye Ibada ya Jumapili 12||11||2023 kupokea nguvu za Roho Mtakatifu. Matendo 1:8 "Lakini mtapokea nguvu akiisha...
11/11/2023

Karibu kwenye Ibada ya Jumapili 12||11||2023 kupokea nguvu za Roho Mtakatifu. Matendo 1:8 "Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu"

Je Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea? Kumbuka ushuhuda ni ibada njema ya kumwelezea Mungu Jehovah n...
03/11/2023

Je Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea? Kumbuka ushuhuda ni ibada njema ya kumwelezea Mungu Jehovah na matendo yake makuu maishani mwetu Elgibo Christian Center -ECC

Usichoke kumtumikia Bwana. Zaburi 126:5-6 🙏💡🙏
03/11/2023

Usichoke kumtumikia Bwana. Zaburi 126:5-6 🙏💡🙏

Kwa namna kubwa na ya kipekee Bwana Yesu ametupa uzima kuingia mwezi wa Kumi na moja ni Jambo jema sana kumshkuru yeye a...
03/11/2023

Kwa namna kubwa na ya kipekee Bwana Yesu ametupa uzima kuingia mwezi wa Kumi na moja ni Jambo jema sana kumshkuru yeye aliyetupa neema hii ya Ajabu. Jumapili hii ya 5/11/2023 Tutakuwa na ibada kubwa "Kupokea nguvu za Roho Mtakatifu" Matendo 1:8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu." usipange kukosa tafadhali mkaribishe na ndugu yako, jamaa na rafiki tupokee nguvu hizi sisi sote. Tanzania Assemblies of God

02/10/2023

Ibada ya Jumapili 01||10||2023 siku ya Vijana CAs kitaifa. K**a vijana ujumbe wa siku ni kwa jinsi gani Umasho unavyoweza kuja kwa kuwatumia vijana kijana. Ikiwa Hababuki alitamani uamsho utokee na maombi yake yakasikiwa na Mungu. Je? Si vema kwa kijana kuwa na njaa? Ili Kanisa lirudiwe na nguvu k**a mwanzo? Mathayo 5:6

Address

P. O. BOX 760 USA RIVER
Usa River

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elgibo Christian Center -ECC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share