26/05/2026
MADHABAHU YA ALPHA NA OMEGA
Tunakuleta semina kubwa na yenye kugusa maisha ya ndoa yako!
Njoo ujifunze siri na funguo muhimu za kujenga ndoa yenye amani, upendo na ushindi kupitia Neno la Mungu.
Karibu wewe, mwenzi wako, ndugu na marafiki.
Mungu ana neno kwa ajili ya ndoa yako!
Apostle Mabisi Manyota1