07/05/2024
Kwa NEEMA na REHEMA ya Mungu,tunaendelea kufanya kile Mungu anachotutaka tufanye. Tunaendelea kupiga hatua za ukuaji kihuduma na Mungu anaendelea kutupa kushinda vipingamizi mbalimbali. Kwa muda wa k**a miaka miwili sasa ya huduma hapa Tanga,Mungu anaendelea kutufu ngulia mlango wa kupanuka ambapo hivi karibuni tumeanzisha kituo kingine cha huduma Ili kuwafikia watu kwa injili kwa urahisi zaidi. Tupo kwenye mpango wa kujenga hema ktk kituo hicho kipya.
Nikukaribishe ushiriki pamoja nasi ktk utumishi huu kwa namna ambayo Mungu atakuwezesha. Namba zetu ni Halotel 0627293560, Togo 0718887794 naTigo 0678423123.
Ahsante sana na Mungu akubariki.