20/01/2026
*Hiyo mistari ni lugha ya picha Kwa kizazi chetu na kanisa.*
Ukitafakari maisha yetu vijana tulio *okoka* utagundua kuwa Huwa tunavutiwa sana na namna ya ulimwengu huu.
Mtindo wa maisha.
Mavazi na muonekano.
Miziki pamoja na nyimbo lakini pia hata wapo vijana ndani ya kanisa wanaowatamani mabinti nje ya kanisa.
Na mabinti vivyo hivyo wapo wanao watamani vijana wakiume nje ya kanisa.
Kituambacho ni hatari
Ukisoma hapo utaona Mungu anakasirika alafu nik**a anaamua kumuacha mwanadamu Sasa afanye anavyotaka.
Usikubali Mungu akuache ufanye unavyotaka. Tamani kuongozwa na Mungu.