The City Of God Ministries

The City Of God Ministries Teaching, prophecy, Healing, and Dalivance . 1WAKORTHO 4:4

*THE CITY OF GOD MINISTRIES, TANGA HQ**BWANA YESU  KRISTO AASIFIWE*NINAPENDA KUKUKARIBISHA KWE MKESHA WA MWAKA MPYA; 31 ...
30/12/2025

*THE CITY OF GOD MINISTRIES, TANGA HQ*

*BWANA YESU KRISTO AASIFIWE*

NINAPENDA KUKUKARIBISHA KWE MKESHA WA MWAKA MPYA; 31 DECEMBER 2025

WEWE AMBAYE UMEKUWA MUUMINI WA MASOMO YA NABII ERNEST KANGAJAKA JR. KUPITIA MTANDAONI,KARIBU SANA KWENYE MKESHA.
KWA WALE AMBAO UMENIFUATILIA MUDA MREFU ,UMEBARIKIWA NA MASOMO NA MAOMBI AU MAOMBEZI NA KUNA HATUA MUNGU AMEKUPATIA .

KARIBU UVUKE NA SISI MWAKA HUU WA 2025 KWENDA 2026.

NI NEEMA,NA UPENDELEO, BARAKA.

KARIBU SANA SANA.
TOKA MAPEMA NYUMBANI KWAKO MKESHA UNAANZA SAA 2 :00 USIKU HADI SAA 11 ALFAJIRI.

MAHALI NI HAPA THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI, KANISA LINAKUTANA CHUMBAGENI MTAA WA TUMAINI KARIBU NA STAND YA MWEMBE MAWAZO.

KWA MAWASILIANO TAFADHALI TUPIGIE SIMU ZIFUATAZO:

+255 677304019
+255 785911212
NABII ERNEST KANGAJAKA JR.

Umebarikiwa Sana, nitafurahi kukuona, Mwalike na Jirani.

Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
Nabii Ernest Kangajaka
The City Of God Ministries

Shalom, karibu kwenye Ibada zetu hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI. Kanisa linakutana CHUMBAGENI MTAA wa Tumai...
29/07/2025

Shalom, karibu kwenye Ibada zetu hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI. Kanisa linakutana CHUMBAGENI MTAA wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

Leo Jumanne tunakutana kwa Ibada ya mafundisho.

Ibada inaanza saa kumi kamili 16:00 Jioni hadi saa kumi na mbili 18:00 kamili Jioni.

Tunaendelea kujifunza Fundisho kuhusu Ubatizo wa Roho Matakatifu.

Karibu tujifunze pamoja.

Hakikisha unawahi kwenye kusanyiko hili. Na uje na Vitu vifauatavyo.

1. Biblia yako hard Copy.
2. Daftari kwa ajili ya kuandikia notes za mambo unayojifunza.
3. Uje na karamu ya kuandikia notes.
4. Uje na Sadaka yako nzuri.
5. Mwisho uje na Akili zako kamili na usiziache Nje ya jengo la kisasa.

Umebarikiwa Sana.

Kwa mawasiliano tafadhali tupigie simu zifuatazo.

+255 677304019
+255 785911212
Nabii Ernest Kangajaka JR.
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
The City Of God Ministries
Nabii Ernest Kangajaka
0785 911 212
The City Of God Ministries
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
Nabii Ernest Kangajaka

Usipange kukosa Bado siku 3 karibu Sana.
02/12/2024

Usipange kukosa Bado siku 3 karibu Sana.

TANGA MJINI, na Wilaya zote watu wote makutano yetu ni kwenye Kongamano kubwa la Neno la Mungu la " ISHARA, MIUJIZA NA M...
28/11/2024

TANGA MJINI, na Wilaya zote watu wote makutano yetu ni kwenye Kongamano kubwa la Neno la Mungu la " ISHARA, MIUJIZA NA MAAJABU".

HAPA The City Of God Ministries TANGA MJINI.

Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
Nabii Ernest Kangajaka

Pamoja na Mtumishi wa Mungu Muinjilisti Maloda kutoka MOROGORO atahudumu. Ni siku tatu za mjeuko mkuu.

Walete wagonjwa, wenye matatizo sugu, wenye vifungo sugu watawekwa huru katika jina la Yesu Kristo.

Kwa mawasiliano tafadhali tupigie simu zifuatazo.

0785 911 212
+255 785911212
Nabii Ernest Kangajaka JR.
Wote mnakaribishwa.

*THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI*Shalom, Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo mwokokozi wa Ulimwengu.Napenda kuc...
23/11/2024

*THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI*

Shalom, Nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo mwokokozi wa Ulimwengu.

Napenda kuchukua Nafasi hii kukukaribisha kwenye Ibada kesho Jumapili Tarehe 24 November 2024 hapa *Kanisa la THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI*

Kanisa linakutana *CHUMBAGENI* Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

Ibada inaanza saa tatu kamili 9:00 asubuhii hadi saa Saba kamili mchana 13:00

K**a uko Tanga Mjini tafadhali ungana pamoja nasi kwenye Ibada. Kwa wale ambao Mkoa mbali na Tanga Mjini Ikiwa una Ndugu yako, rafiki yako unaweza kumpatia Ujumbe huu wa mwaliko aweze kuwa sehemu ya watu ambao hawatajuta kuwepo kwenye Ibada hii.

K**a una mgonjwa Mlete kwenye Ibada hii, *Walete wagonjwa wa kila aina, walionewa na shetani, walevi walishindikana, watuvupta bangi, madawa ya kulevya na kila aina ya kifungo watawekwa huru katika jina la Yesu Kristo*

Nabii Ernest Kangajaka JR, ata hudumu.

*Kwa Mungu YOTE yanawezekana*

Kwa mawasiliano na jinsi ya kufika Kanisani unaweza kutupigia kwa simu zifuatazo.

+255 785 911212
+255 677 304019
*Nabii Ernest Kangajaka JR*

*SISI NI KIZAZI CHA ISHARA, MIUJIZA MIKUBWA NA MAAJABU*

Pata ufahamu kuhusu Biblia yako, leo tuangazie Kitabu Cha Injili ya YOHANA.Injili ya Yohana Ina sura 21 Ina mistari 878 ...
23/11/2024

Pata ufahamu kuhusu Biblia yako, leo tuangazie Kitabu Cha Injili ya YOHANA.

Injili ya Yohana Ina sura 21
Ina mistari 878 na Ina maneno 19,099.
Endelea Kujifunza.

Bila shaka umejifunza jambo. Mungu akubariki Sana.

NABII ERNEST KANGAJAKA JR
THE CITY OF GOD MINISTRIES
+255 677304019
+255 785911212

THE CITY OF GOD MINISTRIES Shalom, Karibu kwenye Ibada ya Mafundisho na maombi, uponyaji na Miujiza mikubwa. Leo Tarehe ...
22/11/2024

THE CITY OF GOD MINISTRIES

Shalom, Karibu kwenye Ibada ya Mafundisho na maombi, uponyaji na Miujiza mikubwa. Leo Tarehe 22 December 2024. Hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI. Kanisa linakutana CHUMBAGENI Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

Ibada inaanza saa kumi kamili 16:00 Jioni hadi saa kumi na mbili 18:00 kamili Jioni.

Njoo tujifunze Neno la Mungu kwa kina , kisha tutaomba pamoja. Walete wagonjwa na wenye matatizo sugu wataponywa na kuwekwa huru kwa Jina la Yesu Kristo.

Kwa maelekezo zaidi jinsi ya kufika mahali Kanisa lilipo na huduma nyingine, tafadhali tupigie kwa simu zifuatazo.

+255 785911212
+255 677304019
Nabii Ernest Kangajaka JR.

THE CITY OF GOD MINISTRIES.
22 December 2024.

Shalom, Karibu kwenye Ibada yetu ya Mafundisho na maombi leo JUMANNE Tarehe 19 November 2024, hapa Kanisa la THE CITY OF...
19/11/2024

Shalom, Karibu kwenye Ibada yetu ya Mafundisho na maombi leo JUMANNE Tarehe 19 November 2024, hapa Kanisa la THE CITY OF GOD MINISTRIES, TANGA MJINI. Kanisa linakutana CHUMBAGENI Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

Muda ni kuanzia saa kumi 16:00 kamili Jioni hadi saa kumi na mbili 18:00 kamili Jioni.

Njoo tujifunze Neno la Mungu, tuombe pamoja bila shaka maisha yako yatageuzwa na utakuwa mtu Mwingine.

Walete wagonjwa na wenye matatizo sugu wataponywa kwa jina la Yesu Kristo Amen.

Kwa maelekezo na jinsi ya kufika kwenye ibada Tafadhali unaweza kutupigia simu zifuatazo.

+255 677304019
+255 785911212
Nabii Ernest Kangajaka JR.
THE CITY OF GOD MINISTRIES.
19 November 2024.
The City Of God Ministries
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
Veronica Kibinga

Shalom, Karibu kwenye Ibada zetu hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI.Leo hii Ijumaa ni Mafundisho, Maombi, Maomb...
15/11/2024

Shalom, Karibu kwenye Ibada zetu hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI.

Leo hii Ijumaa ni Mafundisho, Maombi, Maombezi kwa ajili ya watu wenye matatizo sugu.

K**a uko Tanga Mjini karibu Sana, Walete wagonjwa na wanaoonewa na Ibilisi watawekwa huru katika jina la Yesu Kristo.

Sisi The City Of God Ministries tuna amini katika Nguvu za Mungu, ishara Miujiza mikubwa, Uponyaji na Maajabu katika hili Jina la Yesu Kristo.

Kwa kuwa Mungu hajaenda likizo yote yanawezekana.

Kwa mawasiliano piga namba zifuatazo.

+255 677304019
+255 785911212
Nabii Ernest Kangajaka
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
The City Of God Ministries

Hizi ni picha mbali mbali za Semina za Viongozi kutoka kwenye madhehebu mbali mbali ambazo zimeandaliwa na The City Of G...
14/11/2024

Hizi ni picha mbali mbali za Semina za Viongozi kutoka kwenye madhehebu mbali mbali ambazo zimeandaliwa na The City Of God Ministries .

Karibu kwenye makusanyiko yetu hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI.Kanisa linakutana CHUMBAGENI Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

+255 677304019
Kwa ushauri na maombi / program mbali mbali za uongozi.

Nabii Ernest Kangajaka
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
+255 785911212

Ufunguo muhimu Sana katika maisha ya mwamini ni Maombi, mwamini akiacha maombi kila kitu kitaanza kupwaya kila siku.Ndiy...
14/11/2024

Ufunguo muhimu Sana katika maisha ya mwamini ni Maombi, mwamini akiacha maombi kila kitu kitaanza kupwaya kila siku.

Ndiyo maana maombi yamepewa uzito na umuhimu mkubwa Sana katika nyaraka zote.

Ombeni bila kukoma, Kesheni katika kuomba, msijisumbuwe kwa Neno lolote ....ila kwa kuomba.

Hii maana yake maombi ni ya muhimu Sana.

Nakusisitiza kuomba kwa bidii kila siku, asubuhii mchana na hata usiku.

Nakuombea endelea mbele, huku ukikumbuka kuwa utendaji wa Nguvu za Mungu Duniani unategemea maombi ya mwamini.

Usiku mwema.

The City Of God Ministries
Nabii Ernest & Veronica Kangajaka Ministries
Nabii Ernest Kangajaka
Veronica Kibinga
+255 677304019
Karibu kwenye Ibada kesho Ijumaa hapa THE CITY OF GOD MINISTRIES TANGA MJINI Kanisa linakutana CHUMBAGENI Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

" Ninapokuwa na mengi ya kufanya Kwa siku , Mimi hutumia wakati mwingi katika maombi, kwa sababu Kazi nyingi hufanywa kw...
13/11/2024

" Ninapokuwa na mengi ya kufanya Kwa siku , Mimi hutumia wakati mwingi katika maombi, kwa sababu Kazi nyingi hufanywa kwa Maombi kuliko Kazi yenyewe" Martin Luther " mwanamatengenezo.

Huu ndiyo ukweli Unapaswa kuujua katika maisha yako. Yesu ametumia muda mrefu katika maombi na alitumia muda mfupi Sana kuponya, kutoa Pepo, kutaka wakoma nk.

Maombi ni Kazi lazima ifanyike kila siku bila kuacha, kuchoka, Wala kukata tamaa.

Karibu Sana The City Of God Ministries Tanga Mjini, kanisa linakutana CHUMBAGENI Mtaa wa Tumaini karibu na stand ya mwembe mawazo.

Jumanne: Maombi, Mafundisho, na Uponyaji na Miujiza.

Ijumaa ni: Maombi , Mafundisho, Uponyaji, ishara na Miujiza Mikubwa.

Jumapili saa tatu hadi saa Saba kamili ni, maombi, Mafundisho, Sifa, Ishara na Miujiza mikubwa, kufunguliwa katika magonjwa sugu.

Njoo ushuhudie Jinsi Mungu anatenda mambo ya kushangaza.

Kumbuka Mungu hayuko likizo.

+255 677304019
+255 785911212
Nabii Ernest Kangajaka JR

Address

School Street
Tanga

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255677304019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The City Of God Ministries posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to The City Of God Ministries:

Share