TYCS Galanos Boys

TYCS Galanos Boys Tanzania Young Catholic Students, Ni umoja wa wanafunzi wa kanisa katoliki Tanzania,waliopo katika sh

Wengi hujiuliza ,nini maana ya Ekaristi Takatifu! Ambayo wakatoliki tunaamini ni mwili wa Kristu Yesu katika maumbo ya m...
25/07/2021

Wengi hujiuliza ,nini maana ya Ekaristi Takatifu! Ambayo wakatoliki tunaamini ni mwili wa Kristu Yesu katika maumbo ya mkate .
Nimewahi kukutana na wengi wetu, tukikumbana na maswali mengi kuhusu imani yetu katoliki, hususani kuhusu kuabudu sanamu n.k.
#* swali langu la leo," je! Wewe k**a kijana mkatoliki unapokumbana na changamoto k**a hizo za maswali yahusuyo imani yetu, ni nini ufanyacho ama ujibucho?".

11/05/2020

Mapendooooo. Ni jambo jema Kumshukuru Mungu kwa uhai na namna anavyoendelea kutulinda.

Je sisi wana mapendo tunajukumu Gani katika utume wetu kwa kipindi k**a hiki cha janga la Covid 19.?

14/05/2019

How about JKT depo???

29/04/2019

Mapendo,.. Mungu ni mwema kila wakati maishani mwetu,kila tumwombapo ,yeye hujibu kwa wakati sahihi zaidi ya tulivyotarajia kupata.Kila mara Yesu katika uhai wake wa mwili,alipenda kutumia mifano kwa taifa lake.Siku moja Yesu alitoa mfano Akasema.Tenga wa angani hawapandi wala hawavuni na wala hawakusanyi gharani mazao ya ulimwengu,ila Baba yetu wa Mbinguni uwategemeza kwa yote.Wanakula na kunywa,wanapendeza na kuishi.Nasi ni k**a ndege wa angani,Bwana Mungu anatupenda kuliko ndege wa angani,anatulisha na kutunywesha ,anatupndezesha,anatupa uhai,.Sasa kidato cha sita tunakaribia kuingia katika mtihani wetu wa Taifa .Tukumbuke ya kuwa sisi ni zaidi ya ndege wa angani, Bwana Mungu atatenda kwa ajili yetu.Atamtuma Roho wake ,aje kuketi nasi katika kiti kimoja cha mtihani,ashike a pen tutakayoshika,atuwazie yaliyo makuu na ukweli na atafanya mtihani kwa niaba yetu,AMINA,. Ila tukumbuke yakuwa, ndege wa angani huruka huku na kule wakitafuta mema ya nchi waliyoandaliwa na Bwana Mungu,hivyo nasi pia kwa kipindi hiki kilichobaki tuendelee kujisomea na kumkumbuka yeye Yesu wetu rafiki na mwalimu wa kweli ili tupate hayo mema aliyotuandalia Bwana Mungu. Tukumbuke ya kuwa, Mungu wetu ni mwaminifu,anatupenda sana,anampenda hata mwenye dhambi ya kutisha bali huchukia ile dhambi tu,tufanye toba ya kweli,tukaungame ,sadaka.💞

Easter Conferenc 2019
29/04/2019

Easter Conferenc 2019

29/04/2019
02/04/2018

Nawatakia p***a njema,tufufuke pamoja na Kristo.

Address

Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TYCS Galanos Boys posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share