29/12/2025
HABARI PICHA KANISA KUU.
Matukio mbalimbali katika PICHA wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Familia Takatifu kutoka Kanisa Kuu la Mtakatifu Anthony wa Padua Chumbageni.
Katika Misa hiyo kulikuwa na matukio yafuatayo:-
Utoaji wa Sakramenti ya Kipaimara kwa vijana 60
Kufunga Jubilei Kuu 2025 kwa ngazi ya Jimbo
Ufunguzi na kubariki Jengo la Groto la Mama Bikira Maria na Mtakatifu Yosefu Baba mlishi wa Yesu
Sadaka ya Misa Takatifu imeongozwa na Mhashamu Thomas John Kiangio Askofu wa Jimbo Katoliki Tanga.