13/04/2021
Wakristo inatakiwa kuombea sana makanisa yetu na watawala,maana hatari iliyoko ni kubwa kuliko tuitazamavyo sasa. Maana Mungu anatakiwa ahusike kwa 100% kabisa lisonge mbele. Usione kwako kumetulia ukadhani uko salama ujue wakati wako wa kujiliwa bado haujafika. Omba