17/05/2026
ISAYA 43:4
"Kwa kuwa ulikuwa wa thamani machoni pangu, na mwenye kuheshimiwa, nami nimekupenda; kwa sababu hiyo nitatoa watu kwa ajili yako; na kabila za watu kwa ajili ya maisha yako"
Tukiishi kwa kumpendeza Mungu ,basi Upendo,heshima ,Ulinzi na Thamani yetu italindwa na Mungu mwenyewe.Naye Mungu atatupa kila aina ya usaidizi kwa jambo lolote tynalohitaji,kwa utukufu wa jina lake!
AHADI YA MUNGU NI KWELI NA AMINA✍️🙏🏼