International Online Prophecy ,ukurasa Wa unabii Kwa Mataifa

International Online Prophecy ,ukurasa Wa unabii Kwa Mataifa this page is special for international online prophecy for different nationa

Karibu sanaaa kwenye huduma....
09/08/2022

Karibu sanaaa kwenye huduma....

18/11/2021
06/01/2021

UNABIIIIIIIII WA MAREKANI

1.Huyu ndie mshindi wa marekani japo wapinzani wataonekana wameshinda ila kuna jambo la ajabu litatokea na mtashangaaa sanaaaa .malaika wa Mungu watampigia kura na dunia itashangaaaaa japo mshindi atatangazwa mwingine ila hatashika nchi mark my words..

2.Naona vita kubwa marekani ya kusini kati ya Islam na ukristo itakayoleta vurugu kubwa sanaaa itakayo ingiza marekani kwenye vita ya kidini nchini mwao naona kuanzia mwezi wa pili mpaka wa sabaaaa.
Ushauri wa kinabii
Ombea marekani sana ombea misikiti na makanisa kwa mzigo pasiwe na migongano ya kidini ombea na zaburi 91

3.Mama aliekuwa chuma miongoni mwa wanawake wakubwa marekani namwona akitwaliwa ila katika hali ya ugonjwa wa gafla
Ushauri wa kinabii
Ombea viongozi wa marekani hasira ya Mungu iko juu yao wengi watakufa kwa magonjwa na vifo vya gafla ombea roho ya herode Mungu akiishugulikia..

4.Namwona mwanafunzi mgonjwa katikashule iliyopo katika jiji kubwa la marekani na silaha akifanya ushambulizi kwenye shule dhidi ya mwalimu na wanafunzi
Ushauri wa kinabii.
Ombea wanafunzi wa vyuo na mashule maana naona vurugu katika mashule ilichangamana na mambo ya kigaidi marekani wapime mara kwa mara hali za afya akili za wanafunzi na walimu wao.

5.ombea ikulu ya marekani na Raisi ajae maana nasikia sauti ya mizinga na bendera za majeshi zikiwa nusu mlingoti ,raisi ajae atakuwa na wakati mgumu dhidi ya mapinduzi ya kijeshi ila hayatafanikiwa.ĺ
Ushauri wa kinabii.
Ombea nguvu ya Mungu iwape moyo wanajeshi kukubaliana na uongozi utakao ingia licha ya matokeo ya uchaguzi.

6.vita katika ya china korea na mataifa mengine kuwa mbaya itayopelekea uchumi wa marekani kuporomoka vibaya
Ushauri wa kinabii
Tamkia marekani amani.

25/10/2020

Muhimu somaaaa ni unabiiii wa kipindi hiki somaaaaa utakuvusha na utanikumbuka.

Ujumbe kwa taifa na dunia wa mwisho wa mwaka na 2021,somo lililo ambatana na unabiii kutoka kwa mtume na nabii mwasha alilopewa tarehe 19,08,2020 kwa ajili ya Tanzania na dunia.

Kuna kipindi kina kuja juu taifa na dunia ambapo familia nyingi zitajazwa huzuni na masononeko ya kila namna ila wale watakao daka hili Neno watapona na janga la huzuni na masononeko.

Ufanye nini?unaposongwa na huzuni.
Mambo 7 yaliyopo nyuma ya huzuni yako ambayo Mungu anataka uone ,na shetani ataki ujue..

Proof text 26:36

A) MUNGU anataka uone nguvu ya MAOMBI inavyoweza kukuvusha katika huzuni yako ila shetani anataka uone kikombe kilivyo kikubwa mbele yako kuliko nguvu za kiroho za maombi ndani yako.

B)mapenzi ya Mungu ndani ya huzuni yako.
Nyuma ya kila huzuni unayopitia Kuna mapenzi ya Mungu makubwa sana na mazuri mno,sema kazi ya huzuni nikufunika macho yako usione uzuri wa Mapenzi ya Mungu katikati ya huzuni yako
Hakuna jambo zuri la kiungu litakalo funuliwa kwako bila shetani kuliambatanisha na huzuni na masononeko lengo lake utumie muda mwingi kwenye huzuni kuliko kuomba lililo jema (mapenzi ya Mungu ya timizwe)mfn msiba wa uzia isaya angekaa kwenye huzuni yake asinge mwona Mungu.

C)Maombi ya mkesha yanayo kurengenezea stamina ya kupambana na huzuni, wakati imekuvamia.

Mungu anatamani uwe na mkesha wa maombi kwa ajili ya kukuandaa uweze kuwa na stamina ya kuendelea kushika imani hata k**a huzuni imekuvamia.
Shetani Kiu yake kubwa ni wewe usiwe na stamina ya kushika imani bali uiache na kupambania huzuni yako.

D)Pumziko la kiungu ndani ya huzuni.
Mungu muda mwingine hata ondoa huzuni yako atakuletea pumziko la kiungu ndani ya huzuni yako ,ili kukusaidia uweze vuka salama katika hiyo huzuni bila kupata madhara ya kiroho wala kimwili.
lengo la shetani kukuletea huzuni ili aondoe pumziko akuletee mahangaiko, nyuma ya kila huzuni kuna pumziko ambalo shetani ataki uone.
1 nyuma ya huzuni ya Yesu =kuna pumziko la wokovu
2 nyuma ya huzuni ya mordecai na esta =pumziko la wayahudi.
3nyuma ya huzuni ya Daniel =pumziko la kifalme.

Unapoona huzuni mwombe Mungu akufunulie pumziko lililoko mbele

4 Nyuma ya huzuni ya Yusufu=kuna pumziko la kupata cheo.

Walawi 26:35 Wakati wote itakapokuwa na ukiwa, itapumzika; ni hayo mapumziko ambayo haikuwa nayo katika Sabato zenu, hapo mlipokaa katika nchi hiyo.

Haijalishi umesafiri kwa muda gani ndani ya jaribu au huzuni ila usisahau kuomba uwepo wa Mungu ndani yako ukutengenezee nafasi ya pumziko ndani ya hio huzuni k**a sanduku la Agano lilivyo watafutia nafasi au mahali pa kupumzika baada ya siku tatu.
Hesabu 10:33 Basi wakasafiri kutoka penye mlima wa BWANA safari ya siku tatu; na sanduku la agano la BWANA likatangulia mbele yao mwendo wa siku tatu, ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.

E)kuona saa iliyo karibia ya uovu au wema.

Kwenye kila huzuni Mungu anataka uone saa inayo karibia iwe ya uovu au wema huzuni yeyote imebeba saa fulani ndani yake.
Jifunze kuharibu saa mbaya nyuma ya kila huzuni yako na ufungulie saa njema kwa ajili ya farijiko lako .
Luka 2:38 Huyu alitokea saa ile ile akamshukuru Mungu, na wote waliokuwa wakiutarajia ukombozi katika Yerusalemu akawatolea habari zake.

Saa ya kusulubishwa. haribu
Saa ya mashangilio .ifungulie

Nyuma ya kila huzuni kuna saa ya mashangilio.

F) huzuni inazuia kuondoka kwako ,na pia inanifanya usiweze kwenda pamoja na Mungu.

Lengo la Mungu kwenye kila huzuni kuna mwondoko na mwongozo mpya anaotaka uanze kwenda nao wewe binafsi na pia kuna Safari mpya ya kimahusiano na kimawasiliano anayotaka anze na wewe.
Mwondoko wa kiungu na kwenda kiungu ni vitu viwili tofauti.
Unaweza ukaondoka na usiende unakotakiwa kwenda.
Huzuni inakazi ya kukufanya usiondoke au hata ukiondoka usiende unapotakiwa kwenda,yaani shetani hutumia kukupoteza Ramani.

G malaika wa kuihudimia au wakukuhudumia ndani ya huzuni yako ili isikumeze.

Ni muhimu kuomba huduma ya malaika wanao husika kutia nguvu na kukuhudumia ndani ya huzuni k**a jinsi walivyo hudumia wafuatao
A)malaika walivyo mhudumia Yesu
B)malaika walivyo mhudumia Daniel
C)malaika walivyo mhudumia lutu.
D)malaika walivyo hudumia wanawake wa kiebrania na mama yake musa na Yesu.

Kutoka kwa mtume na nabii mwasha sambaza Neno hili kwa magroup 100 kuna muujiza utapokea ndani ya siku 7.piga 0676444295,0693444295 ushuhudie muujiza.

05/10/2020

My prayer today is that we will feel the loving arms of God wrapped around us, and will know in our hearts that He will never forsake us as we trust in Him.”

“We are the Bibles the world is reading;
We are the creeds the world is needing;
We are the sermons the world is heeding.”

“Christ not only died for all: He died for each.”

Wakati wa matengenezo Ni Sasa kwa mlioko Dodoma karibuni sana
21/08/2020

Wakati wa matengenezo Ni Sasa kwa mlioko Dodoma karibuni sana

04/05/2020

Unabiiiii unabiiii unabiii wa Tanzania 2020
1.vyama vya upinzani kupita mtikisiko na mpasuko mkubwa utakaopelekea kuundwa kwa chombo kingine ambacho kina lengo kuchagua mgombea mmoja atakae simama katika mgombea uraisi upande wa upinzani pia vyama vichache kuingia kwenye uchaguzi.

Ushauri wa kinabii
Takasa lugha ya upinzani iwe lugha ya amani na sio ya kuvuruga nchi.

2.ajali mbaya ya treni itakayo uwa watu wengi kutokana na kuharibika kwa kichwa cha treni na watu kung'oa au kuharibu reli.

Ushauri wa kinabii
Shirika la Tamara kuimarisha ulinzi wa usalama katika mali zake haswa reli ya mbeya kuja dar.

3.asali ya Tanzania kuingia katika soko la kimataifa na kusababisha uchumi wa nchi kukua kwa kasi sanaaa

Ushauri wa kinabii
Watu kuanza ufugaji wa nyuki ili wanufaike.

4.askofu mkubwa wa huduma binafsi atatwaliwa katika ajali mbaya ya gari.
Ushauri wa kinabii
Maaskofu ombeeni mwaka unaokuja sio mzuri kwenu utakuwa ni mwaka wa kilio kwenu.

5.tukio baya la kigaidi kutokea katika jiji moja la kibiashara litakalo Sababisha huzuni kuu Tanzania
Ushauri wa kinabii
Serekali kuimarisha ulinzi kwenye miji yote ya kibiashara.

Mm ni mtume na nabii mwasha ombea mazuri yatokeee na mabaya yasitokee.

02/05/2020

South Africa unabiii unabiiii
Mambo yanayoenda kutokea south Africa 2020.

1.naona mvua kubwa yenye madhara itakayo haribu mifumo mbalimbali ya maji k**a mabomba madaraja na barabara

Ushauri wa kinabii
Tuombee hali ya hewa ya Africa kuamini haswa mwezi wa 2 na wa 3.

2.jaribio la kuuwawa kiongozi wa serekali kwa njia ya sumu kwenye chama tawala .
Ushauri wa kinabii.
Kemea roho ya mapepo ya mauti kwa viongozi.

3.pesa ya africa kusini kushuka thamani kuanzia mwezi wa 3 na hili kupelekea uchumi kuyumba na wawekezaji kurudi kwao..

4tuombeee watu wa captown naona kitu kutoka angani kinashuka kutoka angani ambacho kinaleta madhara katika eneo hili.

Ushauri wa kinabii
Ombea ulinzi wa Mungu zab 91

5.Kundi jipya la ugaidi kuibuka nchini humo kundi lililo undwa na vijana wa nchi zingine kundi hili limejiandaaa kufanya mashambulio mbalimbali

Ushauri wa kinabii
Africa kusini kuwa makini na wahamiaja wanao hamia kwao haswa mpaka wa Zimbabwe.

6.sheria ngumu zinazo bana Kristo kutungwa kwenye bunge na kuthibitishwa jambo hili kuleta ugomvi mkubwa sanaaa na maandamano makubwa ya kidini ambayo hayajawahi kutokea..
Ushauri wa kinabii.
Kuombea umoja wa makanisa nchini humo

Mm ni mtume na nabii mwasha ziombee nzuri zitokee baya zisitokeee.

25/03/2020

God is too much

06/12/2019

Power of God is really

https://chat.whatsapp.com/JBxJ3HHprndH48LuyhLQAy
04/12/2019

https://chat.whatsapp.com/JBxJ3HHprndH48LuyhLQAy

WhatsApp Messenger: More than 1 billion people in over 180 countries use WhatsApp to stay in touch with friends and family, anytime and anywhere. WhatsApp is free and offers simple, secure, reliable messaging and calling, available on phones all over the world.

Address

Singida

Telephone

+255693444295

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when International Online Prophecy ,ukurasa Wa unabii Kwa Mataifa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to International Online Prophecy ,ukurasa Wa unabii Kwa Mataifa:

Share