Uwislam na elimu yake

Uwislam na elimu yake Kikundi cha kujadili masuala ya dini yetu ya kiislamu

  Kiongozi mkuu wa Iran, Mojtaba Ali Khamenei, ameripotiwa kutoa agizo kwamba madini ya urani yaliyorutubishwa hayapaswi...
22/05/2026

Kiongozi mkuu wa Iran, Mojtaba Ali Khamenei, ameripotiwa kutoa agizo kwamba madini ya urani yaliyorutubishwa hayapaswi kuruhusiwa kutoka nje ya Iran.

Hatua hiyo imeonyesha msimamo mkali wa Iran katika kulinda mpango wake wa nyuklia, wakati mazungumzo kati ya Iran na mataifa ya Magharibi yakiendelea kutafuta suluhu ya kidiplomasia kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hilo.

Iran imeendelea kusisitiza kuwa haitasalimisha madini hayo wala kusitisha mpango wake wa nyuklia, ikidai kuwa mpango huo ni kwa matumizi ya amani na maendeleo ya taifa.

Hata hivyo, Marekani imekuwa ikieleza wasiwasi wake kuhusu uwezekano wa Iran kutumia urani iliyorutubishwa kutengeneza silaha za nyuklia.

Serikali ya Marekani imeendelea kushinikiza Iran kukubali masharti ya kudhibiti shughuli zake za nyuklia ili kupunguza mvutano wa kimataifa.

Uwislam na elimu yake

Iran imesema Meli 26 zimevuka salama katika Mlango wa Bahari wa Hormuz ndani ya saa 24 zilizopita, huku njia hiyo muhimu...
21/05/2026

Iran imesema Meli 26 zimevuka salama katika Mlango wa Bahari wa Hormuz ndani ya saa 24 zilizopita, huku njia hiyo muhimu ya usafirishaji wa mafuta ikiendelea kuwa chini ya uangalizi mkali wa Jeshi la Nchi hiyo, Vyombo vya Habari vya Serikali vimeripoti kuwa usafirishaji huo umefanyika kwa kibali maalum na uratibu wa Vikosi vya Majini vya Jeshi la Iran.

Mamlaka ya Bahari ya Ghuba ya Uajemi Nchini Iran imetoa ramani mpya ikionyesha maeneo maalum yaliyowekwa chini ya udhibiti wake katika Mlango Bahari wa Hormuz, huku Iran ikionya kuwa hakuna Meli itakayoruhusiwa kupita katika maeneo hayo bila ruhusa rasmi kutoka Mamlaka zake.

Aidha, mvutano huo umeendelea tangu kuanza kwa vita kati ya Marekani, Israel na Iran Februari mwaka huu, hali inayosababisha Iran kuzuia njia hiyo ambayo hupitisha sehemu kubwa ya mafuta na nishati Duniani.
Kal'ma Bilali Uwislam na elimu yake

Hatahivyo, Marekani na Iran zinaendelea na mazungumzo kuhusu hali ya usalama katika eneo hilo, ingawa bado hakuna makubaliano yaliyofikiwa, ambapo Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ameonya kuwa kurejea kwa vita kutaleta mshangao mkubwa zaidi, huku Iran ikisisitiza kuwa haitasalimu amri kwa shinikizo la Marekani.

Iran yaonya vita vitaenea nje ya Mashariki ya Kati iwapo itashambuliwa tenahttps://bbc.in/49HecaMHawa wa iran awajawahi ...
20/05/2026

Iran yaonya vita vitaenea nje ya Mashariki ya Kati iwapo itashambuliwa tena
https://bbc.in/49HecaM
Hawa wa iran awajawahi kusema uwongo
Kila wakiahidi utimiza..

Asalaam alaykum waislam wenzangu Kote duniani Kal'ma Bilali
18/05/2026

Asalaam alaykum waislam wenzangu
Kote duniani
Kal'ma Bilali

14/05/2026

Sina shaka na watu wa ukurasa huu kumpenda mtume wao[Tumsalieni mtume muhammad S.A.w]

10/05/2026

Usipite bila kulitaja jina la [allah ]
Katika majina yake mazuri

Wameona isiwe tabu wakaenda zao ..Wakasema atutaki wake zetu wabaki wajane ..na watoto zetu wakawa mayatima..
10/05/2026

Wameona isiwe tabu wakaenda zao ..

Wakasema atutaki wake zetu wabaki wajane ..
na watoto zetu wakawa mayatima..

Huyu mwamba kila siku Israel na Mossad yake wanamtafuta wamlipue lakini imeshindikana.Mwisho wa siku idara za usalama za...
10/05/2026

Huyu mwamba kila siku Israel na Mossad yake wanamtafuta wamlipue lakini imeshindikana.
Mwisho wa siku idara za usalama za Israel zinasema huyu jamaa ni AI, hakuna binadamu k**a huyu kwenye jeshi la Iran.
Lakini wameomba k**a kweli kuna mwenye uthibitisho kwamba huyu ni binadamu na yupo nchini Iran basi awape taarifa.

Msemaji wa jeshi la dunia
Alhmdulilah rabi laalahmin...
Wameregea

Shekh wa mkowa wa kigoma shekh Hassani Kiburwa akiwa katika ziara za kidini wilaya ya kasulu mkowa wa kigoma akikagua ma...
07/05/2026

Shekh wa mkowa wa kigoma shekh Hassani Kiburwa akiwa katika ziara za kidini wilaya ya kasulu mkowa wa kigoma akikagua maendeleo ya uwislam pamoja na changamoto za kiafya ila amekiwa mazubuti katika kuamasisha umoja na mshik**ano katika jamii ambayo anayo iyongoza na kuzunguka katika wilaya zete ... Allah amuhifadhi shekh uyo ni nguzo kwa uwislami na waislam wa kgm ..hii ni lulu waitunze..
Kal'ma Bilali
Uwislam na elimu yake

"Irani nitaifa ambalo liuwezo mkubwa wa kushiki na viumbe wengine katika vita inasadikika kuwa Pomboo wa kujitoa mhanga"...
06/05/2026

"Irani nitaifa ambalo liuwezo mkubwa wa kushiki na viumbe wengine katika vita inasadikika kuwa Pomboo wa kujitoa mhanga" wanaodaiwa kutumiwa na Iran kutega mabomu ya majini

https://bbc.in/3QT2MdB

Pwagu anajifanya mjanja sana et Pakistan hahaaa mmarekani akiingia kwenye hii vita basi ndio anapotea jumla ..nik**a Kun...
06/05/2026

Pwagu anajifanya mjanja sana et Pakistan hahaaa mmarekani akiingia kwenye hii vita basi ndio anapotea jumla ..nik**a Kuna kupindi zinarudi alafu Zina toka
Sasa Pakistan kakanusha
Israel inataka kushuhudia anguko la marekani

Address

Ndala Shinyanga
Shinyanga

Telephone

+255716760182

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uwislam na elimu yake posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share