27/05/2026
βMsijisumbue kwa jambo lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.β
β Biblia Wafilipi 4:6
Karibu katika Juma Tano ya maombi. Haijalishi unapitia changamoto gani, Mungu bado anasikia sauti ya mwenye kuomba kwa imani. Leo tusikate tamaa, maana kila ombi linalotolewa kwa moyo wa kweli linafungua njia, linaponya moyo na kuleta ushindi. Endelea kumuamini Mungu, muda wake ni mkamilifu. π