28/06/2022
KARIBU KWENYE MAOMBI YA KITAIFA YATAKAYOFANYIKA JIMBO LA SHINYANGA MAGHARIBI KATIKA KANISA LA FPCT SHALOM TEMPLE KAHAMA MJINI
2 Mambo ya Nyakati 7:14
[14]ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Cc