19/12/2023
Karibu katika Ibada ya Mkesha wa Mwaka Mpya utakayofanyika katika KANISA LA EFATHA MWENGE, DAR ES SALAAM TANZANIA, Kanisa linatazamana na Lugalo Suma JKT.
Ibada hii ya Mkesha itafanyika tarehe 31/12/2023 siku ya Jumapili saa 03:00 usiku na itaongozwa na Mtumishi wa Mungu Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira.
Mwana wa Mungu usipange kukosa njoo tufunge Mwaka 2023 na tuanze Mwaka Mpya 2024 na Bwana.
Kwa wewe uliyembali utaweza kufuatilia Ibada hii Mubashara kupitia mitandao yetu ya kijamii k**a YouTube, Facebook na Instagram kwa Jina la Efatha Church
Tafadhali wajulishe na Wengine na Mungu Akubariki.