Power in Prayers Ministry

Power in Prayers Ministry Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Power in Prayers Ministry, Religious organisation, Nyakato.

Power In Prayers Ministry ni huduma ya maombi kwa wanawake wakristo wa madhehebu mbalimbali Tanzania lenye lengo la kuinua maisha ya kiroho ya wanawake na mabinti.

MWANZA🔥    MWANZA 🔥   MWANZA🔥"NI SIKU 3 ZA KUPIGANA ILI KUREJESHA KILICHO CHAKO 💪" Huduma ya Power In Prayers Ministry c...
10/02/2026

MWANZA🔥 MWANZA 🔥 MWANZA🔥
"NI SIKU 3 ZA KUPIGANA ILI KUREJESHA KILICHO CHAKO 💪"

Huduma ya Power In Prayers Ministry chini ya Mtumishi wa Mungu Mwl. Mwl Catherine Peter Sesse wanakualika kwenye kongamano la maombi litakaloongozwa na watumishi wa Mungu, Mwl. Catherine Sesse, Pastor Happy Kamili kutoka EAGT Hema ya Furaha Mbeya na Pastor Yusuph Paul wa TAG Simiyu.

Waimbaji watakaohudumu ni pamoja na Filbert Sangule kutoka Dsm, Aaron Mika wa Geita, Roska Renatus wa Mwanza pamoja na Umwema Worship Ministry.

Yohana 10:10 NENO
"Mwizi huja ili aibe, aue na aangamize. Mimi nimekuja ili wapate uzima, kisha wawe nao tele."

Tarehe: 5 - 7 /03/ 2026

Muda: Kuanzia saa 4 asubuhi hadi 12 jioni

Mahali: Almas Tower ghorofa ya 7 Natta (jirani na ofisi za CCM Wilaya ya Nyamagana)

Ni siku 3 za maombi, vita vya kiroho, urejesho wa baraka, uponyaji na kufunguliwa kwa n milango mipya.

Kwa mawasiliano jinsi ya kufika Piga no. 0762834269 / 0654927795

Walete wagonjwa na wenye shida mbalimbali wataombewa.
Mwalike na mtaarifu ndugu, rafiki, Jirani na jamaa yako.

WATU WOTE MNAKARIBISHWA

Shalom!Ijumaa hii mimi pamoja na team yangu tutakuwa na mkesha maalum kabisa kwa ajili ya kupeleka hoja za mabinti kwa M...
04/10/2023

Shalom!
Ijumaa hii mimi pamoja na team yangu tutakuwa na mkesha maalum kabisa kwa ajili ya kupeleka hoja za mabinti kwa Mungu aliye Baba yetu. Nipende kukualika wewe binti mkazi wa Jiji la Mwanza kuhudhuria mkesha huu tutaanza saa 4 usiku mpaka saa 11 Alfajiri. Ukiweza funga kuanzia saa 12 jioni na tutafungua pamoja saa 12 Asubuhi.

Ni maeneo ya Buzuruga shule ndipo tutakapofanyia mkesha huu lakini ukiwa tayari kushiriki tafadhali thibitisha ushiriki wako kwa kutuma sms au kupiga simu kwa no. 0762834269 ili kupewa maelekezo jinsi ya kufika lakini pia kuandaliwa maji ya kunywa.
Nitafurahi kuwaona mabinti.
IJUMAA HII TUNA KIKAO NA BABA ANDAA AGENDA YAKO TU.

Ooh! Haleluya, imempendeza Mungu kwetu Power in Prayers Ministry utimilifu wa Mungu ukae juu yetu 2023... Hivyo ni Mwaka...
01/01/2023

Ooh! Haleluya, imempendeza Mungu kwetu Power in Prayers Ministry utimilifu wa Mungu ukae juu yetu 2023... Hivyo ni Mwaka wa Ukamilifu wake na kukirimiwa Neema juu ya Neema Katika Kristo Bwana... Happy New Year!

Je wajua ni kwanini yatupasa sisi wateule kuishi maisha matakatifu?
01/10/2022

Je wajua ni kwanini yatupasa sisi wateule kuishi maisha matakatifu?

Soma Neno la Mungu, jaza Neno la Mungu ndani ya moyo wako kwa maana Neno ni Uzima na pia ni silaha dhidi ya mashambulizi...
18/09/2022

Soma Neno la Mungu, jaza Neno la Mungu ndani ya moyo wako kwa maana Neno ni Uzima na pia ni silaha dhidi ya mashambulizi au vita vya kiroho.

Mungu anatuwazia mema siku zote, huna haja ya kukata tamaa anasema katika Yeremia 32:42 kwamba k**a alivyoruhusu mabaya ...
15/09/2022

Mungu anatuwazia mema siku zote, huna haja ya kukata tamaa anasema katika Yeremia 32:42 kwamba k**a alivyoruhusu mabaya yakupate, vivyo hivyo na mema ataruhusu yakuijie... Hivyo ni wakati tu wa kupitishwa vumilia... Mema yako mbele, endelea mbele usikate tamaa.

31/08/2022

Shalom!
Neno la Mungu linatuambia kwamba Mungu hapendi kumhuzunisha mwanadamu, lakini pia baada ya hiyo huzuni Mungu ameahidi kukupa raha. Karibu ufuatilie hili somo "Ndani ya Uchungu na maumivu utashinda" kutoka kwa Mwl. Catherine Peter Sesse...

Naomba usisahua ku subscribe ku like na kucomment pia na share na wengine.

https://youtu.be/a216ecqFcnQ

Isaya 66:9"Je! Mimi nilete wana karibu na kuzaliwa, nisizalishe? Asema Bwana; mimi nizalishaye, je! Nilifunge tumbo? Ase...
13/08/2022

Isaya 66:9
"Je! Mimi nilete wana karibu na kuzaliwa, nisizalishe? Asema Bwana; mimi nizalishaye, je! Nilifunge tumbo? Asema Mungu wako."

Hii ni ahadi ya Mungu kwetu, ni haki yetu kuidai ili Bwana atupe uzao, na alikwisha kutubarikia akasema tuzae na kuongezeka tuijaze nchi ila adui tu ndiye anaonea watu kwa kufunga matumbo yao na kuua watoto ili familia isiongezeke.

Karibu kwenye maombi ya siku 3 (tatu kavu) kwa ajili ya uzao (kupata watoto katika ndoa)..
Jambo la msingi ni kumwamini Mungu katika mambo yaliyo makubwa maana Yeye anaweza yote hata yale yaliyoshindikana kwa wanadamu.

Kujiunga gusa link hii hapa chini
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/LDRDiuNpHrl0aszLRTCHFy

Ondoa hofu na mwamini Mungu tu! Kusudi lake ni lazima litimie katika maisha yako.
20/07/2022

Ondoa hofu na mwamini Mungu tu! Kusudi lake ni lazima litimie katika maisha yako.

Usiogope!Mungu hawezi kukuacha unyauke atakunyunyizia maji tena.Mwamini tu!
19/07/2022

Usiogope!
Mungu hawezi kukuacha unyauke atakunyunyizia maji tena.
Mwamini tu!

Address

Nyakato

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Power in Prayers Ministry posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share