01/06/2026
Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya matendo yake makuu aliyoyatenda katika wiki hili la kwaya na kwenye wiki hili tulikuwa na semina kuanzia jumatano na jumapili ilikuwa ni hitimisho ya semina.
Mnenaji wa semina alikuwa ni mchungaji Shadrack Reuben kutoka kanisa la Mito Ya Baraka(Kishiri)......
Tumejifunza katika siku zote za semina(Jumatano,Ijumaa,Jumapili) somo kuhusu Nguvu ya Mungu Katika Uimbaji na andiko kuu la semina limetoka kitabu cha
Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.
Ahsante sana kwa kuhudhuria semina hii na Mungu akubariki.