FPCT-Kitangiri Mwanza

FPCT-Kitangiri Mwanza Ratiba ya ibada
Jumapili
07:30 -10:00 Asubuhi. Ibada kwa watu wote
09:00 asubuhi. shule ya Jumapili

06/09/2026

🔴🆕LIVE - IBADA YA JUMAPILI | REV DAVID BATENZI | FPCT KITANGIRI LIVE SERVICE.

04/09/2026

1 Nya 6:32-33 SUV
[32] Nao *wakafanya kazi yao ya kuimba mbele ya maskani ya hema ya kukutania,* hata Sulemani alipokuwa amejenga ile nyumba ya BWANA huko Yerusalemu; pia wakaisimamia huduma yao sawasawa na zamu zao. [33] Na hawa ndio *waliofanya huduma pamoja na wana wao.* Katika wana wa Wakohathi; Hemani mwimbaji, mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli;

_Tangu tumeanza kitabu hiki, tunasoma koo mbalimbali, majina ya watu na watoto wao..._
_Lakini humohumo, Kuna mahali inasimama na kutupatia fundisho fulani..._

Zab 73:1 SUV[1] Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, Kwa hao walio safi mioyo yao.Zab 77:2 SUV[2]  Siku ya taabu yangu nal...
31/08/2026

Zab 73:1 SUV
[1] Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli, Kwa hao walio safi mioyo yao.

Zab 77:2 SUV
[2] Siku ya taabu yangu nalimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, haukulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.

Jumatatu Njema

30/08/2026

🔴🆕LIVE - IBADA YA JUMAPILI | MZEE EMMANUEL MAMBO | FPCT KITANGIRI LIVE SERVICE.

25/08/2026
23/08/2026

🔴🆕LIVE - IBADA YA JUMAPILI ASUBUHI | PASTOR PHILIPO TAGAZI | FPCT KITANGIRI LIVE SERVICE

22/08/2026

*_Sura za wiki hii kwa kifupi:_*

*Jumatatu:* Zaburi 54,63
Tafakari ya Daudi wakati anafuatiwa na Sauli na Wazifi wakamsaliti (1Sam 23 na 26) anaomba na kutambua msaada wa Mungu (Zab 53) na anamshukuru akiwa jangwani kwani hata hapo Mungu amemsadia (Zab 63)
*Jumanne:* 1Sam 29-31
Sura 29: Daudi anakataliwa kwenda vitani na wafilisti kupigana na Israeli wakihofia kusalitiwa
Sura 30: Baada ya kukataliwa, Daudi alirudi katika mji alikuwa amepewa na wafilisti kuishi (Siklagi) na kukuta mji umerejea na waamaleki, Daudi analaumiwa hata na watu wake. Lakini anajitia nguvu na kwenda kupambana na Mungu anampa ushindi
Sura 30: Sauli na wanawe wanauawa vitani
*Jumatano:* Zaburi 18
Daudi anatunga Zaburi ya shukrani kwa Mungu kwa ushindi mkuu.
*Alhamisi* Zaburi 121
Anaendelea kumshukuru Mungu kwa kumlinda na kumsaidia. Mungu ni mlinzi na msaada wa watu wake
*Ijumaa:* Zaburi 6,8-9
Sura 6: Daudi anamlilia Mungu kuomba msaada na Rehema, na hapa ni pengine alikuwa amekosea, na kuomba Mungu asimhukumu kwa hasira.
Sura 8: Anatangaza ukuu wa Mungu, muumba wa vyote, aliyekaa utukufu na kutaja nafasi ambayo Mungu amempa mwanadamu.
Sura 9: Anaendelea kumshukuru Mungu, namna alivyompigania dhidi ya adui zake, na anamsifu Mungu Kwa namna anavyotetea wanyonge na kukumbuka watu wake.
*Jumamosi:* Zaburi 10, 14
Sura 10: Katika kuendelea kumshukuru Kwa namna alivyomtetea, anataja pia watu wenye kiburi, wanavyoonea wanyonge, wakidhani kwamba wao ndio Kila kitu, wanavyomkashifu Mungu, Daudi anamwomba watu wa aina hiyo asiwaache waendelee kuonea walio chini. Akikumbuka Hali yake ilivyokiwa mbele ya Sauli.
Sura 14: Anaanza kuongelea namna wenye kiburi wanavyo mkataa Mungu na kuendelea kuonesha kuwa Mungu ni mtetezi na anahitimisha kwa kuomba wokovu wa Bwana
*Jumapili:* 19,21
Sura 19: anaendelea kuuelezea ukuu wa Mungu na namna viumbe vyote vinavuoutangaza, na anaelezea mamlaka ya Neno la Mungu na anamalizia kwa maombi ya unyenyekevu na Toba
Sura 21: Anaendelea kumshukuru Mungu kwa ushindi na kujibu haja ya moyo wake.

Karibu tusome Neno
18/08/2026

Karibu tusome Neno

16/08/2026

🔴🆕LIVE - IBADA YA JUMAPILI | DR GLADNESS TEMU | FPCT KITANGIRI LIVE SERVICE.

15/08/2026

🔴🆕LIVE - DAY 3| EP 3 | SEMINA YA FAMILIA NA MALEZI | DR GLADNESS TEMU | FPCT KITANGIRI LIVE SERVICE.

Address

83
Mwanza

Telephone

+255787951151

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FPCT-Kitangiri Mwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to FPCT-Kitangiri Mwanza:

Shortcuts

Share