14/01/2025
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa kwa mtumishi wa MUNGU, Kuhani James Josephat Nyansika. Kanisa la Efatha Mwanza linakupongeza na kukutakia baraka, furaha na amani. Uzidi kufanyika baraka kwa wengi.
KANISA LA EFATHA MWANZA