15/05/2026
Divine Healing
Roho wa Mungu akijaa na kufurika, matokeo yake uwa dhahiri kwa mhusika na kwa mazingira yake. (Rom. 8:11). Na uelewe kwamba Roho wa Mungu siyo static tu bali ni dynamic (wa mwendelezo).
Static = anakuanzishia Yeye mwenyewe.
Dynamic = unafanya maamuzi yakinifu ya kumfuata. Neno linafanyika mtawala wa maisha yako. Hii ndo kujawa na Roho Mtakatifu.
Anasema tazama nasimama mlangoni nabisha, mtu akinifungulia mlango, nitaingia kwake na kukaa kwake. (Rev. 3:20). John 15:7; Acts 17:28. Maisha ya imani na hekima kwa mwendelezo. Tunda la Roho huonekana (Gal. 5:22-25).