Christ Freedom Church - CFC

Christ Freedom Church - CFC "CHRIST FREEDOM, IT IS MY RIGHT" Community organisation

Divine HealingRoho wa Mungu akijaa na kufurika, matokeo yake uwa dhahiri kwa mhusika na kwa mazingira yake. (Rom. 8:11)....
15/05/2026

Divine Healing

Roho wa Mungu akijaa na kufurika, matokeo yake uwa dhahiri kwa mhusika na kwa mazingira yake. (Rom. 8:11). Na uelewe kwamba Roho wa Mungu siyo static tu bali ni dynamic (wa mwendelezo).

Static = anakuanzishia Yeye mwenyewe.

Dynamic = unafanya maamuzi yakinifu ya kumfuata. Neno linafanyika mtawala wa maisha yako. Hii ndo kujawa na Roho Mtakatifu.

Anasema tazama nasimama mlangoni nabisha, mtu akinifungulia mlango, nitaingia kwake na kukaa kwake. (Rev. 3:20). John 15:7; Acts 17:28. Maisha ya imani na hekima kwa mwendelezo. Tunda la Roho huonekana (Gal. 5:22-25).

*Karibu sana Christ Freedom Church*Nsumba Kiseke, Mwanza Tanzania*Karibu kwenye ibada ya jumapili*Tujifunze zaidi kwenye...
08/05/2026

*Karibu sana Christ Freedom Church*
Nsumba Kiseke, Mwanza Tanzania

*Karibu kwenye ibada ya jumapili*
Tujifunze zaidi kwenye nguvu ya maneno ya Mungu ndani ya mtu binafsi

*Maneno yake kukaa ndani yetu*

*Yohana 15:7 (SUV)*
“Mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”

~ Maswali mengine ya kujiuliza, je, maneno yake yanakaa ndani yetu kweli?
~ Mtu aliye mtoto kwa Mungu/kanisa hujitahidi maneno ya Mungu/kanisa kukaa ndani yake.
~ Hata hivyo kuna wanaoendeleza uvivu na uzembe ambao baada ya muda vyaweza hata kuwatoa ndani ya Mungu/kanisa.
~ Kuna watu wamo ibadani lakini hawamo ndani ya Mungu/kanisa na maneno ya Mungu hayamo ndani yao kabisa.
~ Lakini kuna watu hawamo ndani ya Mungu/kanisa lakini maneno ya Mungu yanakaa ndani yao. Unakubaliana nami kwenye hilo? Shetani anaangukia kwenye category hiyo. Satan ana uwezo wa kuvuruga mtu kiasi kwamba huyo mtu hakai ndani ya Mungu/kanisa lakini maneno ya Mungu yanakaa ndani yake k**a satan mwenyewe.

19/07/2025

Nguvu ya Shuhuda (The Power of Testimony) ni somo lenye msingi mkubwa katika maisha ya Kikristo. Shuhuda ina nguvu ya:

Kuthibitisha uaminifu wa Mungu

Kuwatia moyo wengine

Kuweka ushindi dhidi ya shetani

Andiko la msingi:
Ufunuo 12:11
“Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.”

RATIBA KWA IBADA ZETU.....
06/04/2024

RATIBA KWA IBADA ZETU.....

06/05/2023

Address

Nsumba, Kiseke
Mwanza

Telephone

+255754770020

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Christ Freedom Church - CFC posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Christ Freedom Church - CFC:

Share