06/06/2026
Shalom Shalom🌹
Siku ya Kesho tutakuwa na Joint Mass ya mkoa wa mwanza na uzinduzi wa USCF kanda ya ziwa inayojumuisha mkoa wa mwanza,mara,Simiyu,shinyanga kwaajili ya kuwaaga Finalists 2026.
mwanza
Nyoote mnakaribishwa ❤️🙏🏾
•
•
•
Mathayo 18:20: Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.