Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania

Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania Lengo ni kumtumikia Mungu bila kujari madhebu yetu k**a Vijana. Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu. Zaburi 60:12

Umoja Wa Vijana wa kikristo Tanzania ulianzishwa mwaka 2009 mwezi septemba tarehe 17 kwa Lengo la kuunganisha vijana wa wote kikristo TANZANIA kwa hiyari yao ili tuweze kumtumikia MUNGU katika hali zote bila kujari udhehebu wetu. Shabaha ikiwa kuhubiri habari ya ufalme wa MUNGU katika kila eneo la TANZANIA kwa njia ya Uimbaji,uinjilisti,uwalimu,unabii,uchungaji na utume ikiwa ni kwa kuandaa mikuta

no ya injili,semina za ndani na nje,makongamano ya kusifu,kuabudu na maombi. Pia k**a vijana wa Kikristo tunapenda kutembeleana, kushauriana,kufundishana,kusaidiana,kubadilishana mawazo,ujuzi na ufahamu kuhusu maisha yetu ili tupate kufanikiwa kiroho na mwili. Kusaidiana katika changamoto za ujana hasa katika Uchumi,Mahusiano,Ndoa,Huduma,Elimu,jamii na Shughuli zinazo gusa maisha yetu ya kila siku na jamii inayo tuzunguka. NI HAJA YETU KUONA VIJANA TUNAMTUKUZA MUNGU KWA KILA JAMBO NA KITU AMBACHO MUNGU AMETUPATIA.

There are God's Destination ahead you, don't tremble.
16/07/2022

There are God's Destination ahead you, don't tremble.

Open your Eyes and God will show you a way
16/07/2022

Open your Eyes and God will show you a way

Believe in God, then follow your heart because your brain is stupid
15/07/2022

Believe in God, then follow your heart because your brain is stupid

When faith met believers 😍😍💪💪
15/07/2022

When faith met believers 😍😍💪💪

24/07/2021

INAWEZEKANA UPO KATIKA WAKATI MGUMU NA HUJUI UFANYE NINI, UMEFIKIA HATUA YA KUTOONA UPANDE WA PILI WA MAISHA YAKO, FAHAMU WEWE SI WAKWANZA KUWA KATIKA WAKATI HUO INAWEZEKANA UMEOMBA, UMETOA SADAKA, UMETUBU NA HALI INAZIDI KUWA MBAYA, MARAFIKI NA NDUGU WANAKIMBIA UPO PEKEYAKO, ULIOWAHI WATENDEA WEMA WAMESAHAU, NIKUTIE MOYO WAPO WENGI SANA AMBAO WAMEPITIA KATIKA WAKATI K**A HUO:
Mfano wa Kutafakari Kiblia hali waliyokuwa nayo hawa watu:-
-Wana wa Israel na Bahari ya Shamu nyuma wanafutwa na kifo toka kwa farao. *Kutoka 14:13-14
- Daniel katika tundu la Simba *Daniel 6:19-2
- Mjane wa Serepta na Kiganja cha Unga akisubiri Kifo *1 wafalme 17:8-15

Yeremia 29:11..
FAHAMU SIKUZOTE MUNGU ANAKUWAZIA JAMBO JEMA HATA K**A UMEFIKA MWISHO, JIFUNZE KUJIWAZIA MEMA K**A MUNGU ANAVYOKUWAZIA MEMA
"Karibu Inbox kwa maombi na Ushauri, na kupata rafiki wa kusema nae" Tunakupenda

KUNA WAKATI UNAWEZA POTEZA UHALISIA WAKO KWAAJILI YA MFUMO WA MAISHA UNAO PITIA, NIKUTIE NGUVU USISAHAU UZURI NA UBORA W...
19/10/2020

KUNA WAKATI UNAWEZA POTEZA UHALISIA WAKO KWAAJILI YA MFUMO WA MAISHA UNAO PITIA, NIKUTIE NGUVU USISAHAU UZURI NA UBORA WAKO AMBAO ULIKUWA NAO KABLA YA HAYO MAISHA ULIYO NAYO SASA.
"Tunakupenda rafiki"

29/09/2020

LINDA SANA MOYO WAKO.. IKIWA UMEUMIZWA.. AU UMEVUNJWA., AMINI YUPO YESU NAYE ATAKUGANGA,

24/09/2020

MTUMIKIE BWANA MUNGU NAYE ATAKUSAIDIA

Barikiwa

06/07/2020

MAAMUZI SAHIHI ILI KUFIKIA MALENGO AU MAONO YAKO. * Mithali 29:18
SEHEMU YA KWANZA (UTANGULIZI)

Maisha ya kila mwanadamu huongozwa na malengo au Maono.. bila kujali umri, jinsia, elimu, dini na uwezo wa kiuchumi.

Wapo ambao wanaweka malengo ili kuyatimiza na pia wapo ambao huwekewa malengo ili wayatimze na pia wapo ambao huwekewa na kuweka malengo ili wayatimize. Napia wapo ambao huiga malengo ya wengine ili wayatimize pia wapo wasio na malengo ila hufuata mkumbo wa wenye malengo na hukosa msimamo wa maamuzi ili kutimiza malengo yao.

Malengo ndiyo yanayo tutofautisha katika mifumo ya fikra, aina ya maisha na chaguo la vipaumbele katika maisha, na namna ya kuishi,

Malengo hayo ndiyo hutupa imani ya kuamini Jambo na kuachagua Mungu wa kumtumikia au Jambo la kuliwekea imani.Pia malengo haya ndiyo yatupayo aina ya jamii ya kuamabatana nayo.

JE UNAYO MALENGO, UNAAMINI NINI KITAKUSAIDIA KUTIMIZA MALENGO YAKO, TUKUTANE WAKATI MWINGINE... Shalom

Address

NYAKATO
Mwanza
33121

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Umoja wa Vijana wa Kikristo Tanzania:

Share