04/08/2026
Leo tumekua na hafla fupi ya kukabidhibiwa gari la jimbo Mchungaji wetu, ambae pia ni Askofu wa jimbo la magu,
Mgeni rasmi wa tukio hili kubwa alikua ni Mkuu wa wilaya ya Magu, Mheshimiwa Jubilate Lawuo, na kutoka ofisi ya Kanda Mgeni maalumu alikua ni Askofu Gecha pamoja na kamati yake, pia tumekua na wageni wengine Maaskofu kutoka majimbo mbalimbali ya mkoa wa mwanza pamoja na wachungaji wa jimbo zima na washirika. Tunamshukuru sana Mungu kwa siku hii ya baraka.