19/03/2021
Ilithibitika alizaliwa tarehe 25.05.1887 katika kijiji cha pietrelcina, alibatizwa katika kanisa la Mt maria wa malaika na kupewa jina la Fransisko kwa heshima ya Mt Fransisko wa asissi..
Mama yake aliitwa Maria Giuseppa na baba yake aliitwa Orazio Forgione