06/09/2023
Karibu katika Mkutano mkubwa wa injili mkoani Kagera. Nguvu ya Mungu itaonekana kwa watu wote kwa kufunguliwa vifungo na magonjwa bila kusahau kuwaleta watu kwa yesu ili wapate wokovu.
Mchungaji Amos Mandilindi atahudumu mkutano huu ambao utakuwa ni wa siku tatu. Pia kwaya ya kanisa la Baptist kayenze itakuwa ikihudumu kwa njia ya nyimbo ikishirikiana na kwaya zingine nyingi zinazopatikana mkoa wa Kagera
Watu wote tunawakaribisha sana