15/04/2020
Mungu alisema, "ikiwa watu wangu walioitwa kwa jina langu wataomba na kunyenyekea na kuacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni na kuiponya nchi yao "
Katika hili janga la corona, Mungu hayuko mbali nasi, bail k**a wana wa ufalme tulioitwa kwa jina la Mungu, tumsihi sana Jehova nae kwa upendo wake ataiponya nchi yetu dhidi ya roho ya mauti itokanayo na janga la corona.
Dayosisi ya Musoma Tanzania inaungana na waumini wote wa CCA johera katika interlacustrine region ya Afrika ya mashariki na kati kuiombea dunia wakati huu.
Huu ni wakati wa kanisa kuwapa watu ujasiri wa imani na kuwaondolea virusi vya hofu ili wasiishi kwa kuwaza ugonjwa na mauti yake bali kumtumainia Mwenyezi Mungu ili wasitetereke bali wafanywe kuwa imara k**a mlima wa sayuni.
YESU msalaba mara kar tipo na mar yweyo... yiena kuomi mondo asikie kata ji weya kenda
Analuwi ndalo duto jawarna aae richo na.... kata gimarach oyuda ONGE GIMA POGA KODI