Anglican Church of Tanzania Mara Diocese

Anglican Church of Tanzania Mara Diocese Official page of ACT Diocese of Mara .(ACT MARA) is part of the Anglican church of Tanzania.

Sisi + Mara, tunawatakia waumini wote Pasaka njema. " Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi? (Marko....
05/04/2026

Sisi + Mara, tunawatakia waumini wote Pasaka njema. " Ni nani atakayetuvingirishia lile jiwe mlangoni pa kaburi? (Marko.16:3). Jiwe ni mfano wa vikwazo katika maisha ya mtu binafsi, familia, kundi dogo au kubwa, kanisa, au katika nchi. Mungu ndio msaada wetu wa karibu atatuvingirishia jiwe.
Bishop Dkt.George M Okoth

SALA NA KAZI

07/03/2026
TANZIA: Mhashamu Baba Askofu Dr George Okoth amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa mchungaji wa parish ya k...
23/01/2026

TANZIA:
Mhashamu Baba Askofu Dr George Okoth amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa mchungaji wa parish ya karukekere Mchungaji Isack Masatu kilichotoka tarehe 22.01.2026 katika hospital ya Rufaa Kwangwa Musoma alipokuwa akipatiwa matibabu, mazishi yatafanyika katika kijiji cha Bwenda tarehe 24.01.2026.

Tunaombea kanisa la Mara ,wakristo wote na familia ya Marehemu Rev Isack Masatu faraja na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.
Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe amen.

Kalenda ya DM 2026 ipo tayali chukua nakala yako kwa ajili ya utukufu wa Mungu..
17/01/2026

Kalenda ya DM 2026 ipo tayali chukua nakala yako kwa ajili ya utukufu wa Mungu..

MUHIMU: MABADILIKO YA TAREHE YA MAZISHI YA CANON NYAKARUNGUMazishi yatafanyika tarehe 06.01.2026 Tutazidi kutoa taarifa ...
05/01/2026

MUHIMU: MABADILIKO YA TAREHE YA MAZISHI YA CANON NYAKARUNGU

Mazishi yatafanyika tarehe 06.01.2026
Tutazidi kutoa taarifa kadri tunavopokea kutoka kwenye k**ati ya mazishi na familia .
Asante.

Pumzika kwa amani Canon Samwel Nyakarungu
04/01/2026

Pumzika kwa amani Canon Samwel Nyakarungu

Katika Ibada ya kukaribisha mwaka mpya 2026 iliyofanyika katika kanisa kuu la Mtakatifu Yohana Mhashama Baba Askofu Dr.G...
02/01/2026

Katika Ibada ya kukaribisha mwaka mpya 2026 iliyofanyika katika kanisa kuu la Mtakatifu Yohana Mhashama Baba Askofu Dr.George Okoth amewaingiza watumishi wawili katika daraja la Lay canon wa Dayosisi ya Mara.

watumishi waliongia daraja hilo ni Mama Leah silon kutoka parish ya Buhemba na Mzee william Nyamtika kutoka Mirwa tunawaombea watumishi hawa utumishi uliotukuka katika nafasi zao mpya za kulea ,kushauri , kulitetea kanisa na kumshauri Mhamshamu Baba Askofu katika kutimiza majukumu yake.

Karibu katika utumishi Lay canon Leah silon
Karibu katika utumishi Lay canon William Nyamtka.
Leah Silon
Jason Okore
Beatrice Kingu
Lugoley Alpha

Mhashamu Baba Askofu Dr.George Okoth ameongoza ibada yq kipaimara kanisa kuu lq Mtakatifu Yohana Musoma.Tunawaombea bara...
01/01/2026

Mhashamu Baba Askofu Dr.George Okoth ameongoza ibada yq kipaimara kanisa kuu lq Mtakatifu Yohana Musoma.
Tunawaombea baraka wakristo wenzetu walioingia katika daraja hilo.
Joho Maalumu la kipaimara lilibuniwa na UMAKI linazidi kuwapendezea wapendwa wetu wanaoingia katika daraja la kipaimara
Martha Solomoni
Jason Okore
Lugoley Alpha
Bahati Jeremiah
Daniel Opudo
Martha Awino

Idara ya UMAKI DM imekuja na neema kwa wapendwa wanaoingia daraja la kipaimara kwa kushona Majoho maalumu k**a yanavoone...
26/12/2025

Idara ya UMAKI DM imekuja na neema kwa wapendwa wanaoingia daraja la kipaimara kwa kushona Majoho maalumu k**a yanavoonekana kwenye picha ,ili kukodisha joho hili maalumu wasiliana na Mkuu wa Idara ya UMAKI DM Rev Martha Obura
Hakika vijana wanapendeza ndani ya yesu.
Bahati Jeremiah
Martha Awino
Martha Solomoni
Lugoley Alpha

Address

NYASHO
Musoma
31108

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Anglican Church of Tanzania Mara Diocese posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Anglican Church of Tanzania Mara Diocese:

Share