Efatha Church Mara

Efatha Church Mara Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Efatha Church Mara, Religious organisation, bweri stand, Musoma.

13/05/2026

IBADA YA KUSHUGULIKIA MISINGI YA KUZALIWA

SIKU YA PILI YA KUFUNGA NA KUOMBAKatika siku hii ya pili, chagua njia ya haki, jitenge na yale yasiyompendeza Mungu na u...
02/05/2026

SIKU YA PILI YA KUFUNGA NA KUOMBA

Katika siku hii ya pili, chagua njia ya haki, jitenge na yale yasiyompendeza Mungu na utembee katika mapenzi yake. Kaa karibu na Neno lake, maana hapo ndipo nguvu yako ilipo.

Zaburi 1:1 “Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha."

NAIBARIKI JUMAMOSI YANGU BWANA ni Nuru yangu na Wokovu wangu, BWANA ni Ngome ya Uzima wangu, Nimhofu nani? Watenda mabay...
02/05/2026

NAIBARIKI JUMAMOSI YANGU

BWANA ni Nuru yangu na Wokovu wangu, BWANA ni Ngome ya Uzima wangu, Nimhofu nani? Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.

Jeshi lijapojipanga kupigana nami, Moyo wangu hautaogopa.

Haleluya, YESU ni Mzuri. Jumamosi yangu Imebarikiwa na

KARIBU MEI — MWEZI WA KUFUNGA NA KUOMBA Mwezi huu ni mwezi wa kujinyenyekeza, kujitenga na kumkaribia Mungu zaidi. Amini...
02/05/2026

KARIBU MEI — MWEZI WA KUFUNGA NA KUOMBA

Mwezi huu ni mwezi wa kujinyenyekeza, kujitenga na kumkaribia Mungu zaidi. Amini kuwa Mungu anaweza kufanya yasiyowezekana. Na Mwezi huu, utauona mkono wake ukitenda katika maisha yako.

Yeremia 33:3 “Niite, nami nitakujibu, nitakuonyesha mambo makuu na magumu usiyoyajua”

Mungu akujaze na nguvu Mpya!

SIKU YA KWANZA YA KUFUNGA NA KUOMBASafari ya siku 31 za kufunga na kuomba imefika.Amini hili:Hata kabla hujaanza kuomba,...
01/05/2026

SIKU YA KWANZA YA KUFUNGA NA KUOMBA

Safari ya siku 31 za kufunga na kuomba imefika.

Amini hili:
Hata kabla hujaanza kuomba, Mungu tayari ameshasikia.

Isaya 65:24 “Na itakuwa, kabla hawajaomba, nitajibu; na walipokuwa wakinena, nitawasikia.”

Hivyo ingia katika msimu huu kwa imani, kwa unyenyekevu na kwa matarajio makubwa.

Tunakukaribisha kushiriki katika maombi yatakayoanza saa 10:00 jioni, katika makanisa yote ya Efatha ulimwenguni.

NAIBARIKI IJUMAA YANGU. BWANA yuko upande wangu, Sitaogopa; BWANA yuko upande wangu, Msaidizi wangu, MIMI NI MSHINDI.YES...
01/05/2026

NAIBARIKI IJUMAA YANGU.

BWANA yuko upande wangu, Sitaogopa; BWANA yuko upande wangu, Msaidizi wangu, MIMI NI MSHINDI.

YESU Asante.

KARIBU MEI — MWEZI WA KUFUNGA NA KUOMBA Mwezi huu ni mwezi wa kujinyenyekeza, kujitenga na kumkaribia Mungu zaidi. Amini...
01/05/2026

KARIBU MEI — MWEZI WA KUFUNGA NA KUOMBA

Mwezi huu ni mwezi wa kujinyenyekeza, kujitenga na kumkaribia Mungu zaidi.

Amini kuwa Mungu anaweza kufanya yasiyowezekana. Na Mwezi huu, utauona mkono wake ukitenda katika maisha yako.

Yeremia 33:3 “Niite, nami nitakujibu, nitakuonyesha mambo makuu na magumu usiyoyajua”

Heri ya Mwezi Mpya — Mungu akujaze na nguvu Mpya!

Mtume Meela akiongoza ibada ya mazishi ya Mch Regina Lawrence Mwita
25/03/2026

Mtume Meela akiongoza ibada ya mazishi ya Mch Regina Lawrence Mwita

Mtume na nabii mama Eliakunda Mwingira akiongoza ibada ya mazishi na kuweka mashada ya Mch.Regina Lawrence Mwita kijijin...
25/03/2026

Mtume na nabii mama Eliakunda Mwingira akiongoza ibada ya mazishi na kuweka mashada ya Mch.Regina Lawrence Mwita kijijini kwao mmazami butiama

IBADA YA JUMAPILTAREHE 23/11/2023 SOMO:UFAFANUZI WA SALA YA BWANA Mathayo 6:9-13[9]Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uli...
25/11/2025

IBADA YA JUMAPIL

TAREHE 23/11/2023

SOMO:UFAFANUZI WA SALA YA BWANA

Mathayo 6:9-13
[9]Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, [10]Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani k**a huko mbinguni. hapa duniani k**a huko mbinguni [11]Utupe leo riziki yetu.[12]Utusamehe deni zetu, k**a sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu[13]Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele Amina.
Sala ya Baba yetu imegawanyika katika makundi sita kuelewa
maneno haya kunakuwezesha kuomba kwa ufahamu maombi
yalio jaa imani nayanayo kubalika mbele za Baba wa Mbinguni.
.Unapoomba akupitia hii sara ya Baba yetu Kuna mambo ya
kuzingatia ambayo wajibu ni wetu ni mambo amabayo unafaa
kuzingatia

1.WAJIBU WETU
Hatua ya kwanza imebeba mambo mawili makubwa ambayo ni
heshima ya baba wa mbinguni na mapenzi yake.
.kumpa Baba wa mbinguni heshima yake yayaani nafasiyake kwako
na ufalme wake kwako na utatambua ukuu,wema na utukufu wa
Mungu
.Pili unataka mapenzi yake yaani fahari na furaha yake zitimie kwako
unaomba maisha yako yamejaa fahari na furaha ambazo
zinampendeza Mungu na zinakuletea baraka na Amana.
.Usiende mbele za Mungu wakat unajuwa shida zako,nenda mbele
ya Mungu ukimtukuza ukimudogeza kwenye maisha yako
umwinue.
.mbele zako Mungu anataka umwinue ashugulike na maisha yako
.Sili ya maombi kujibiwa ni kumpa Mungu heshima.
matendo ya mitume
.Mitume walipitia mamb mengi san walipigwa walitukanwa lakini
waliangalia heshima ya Mungu walimweke kwenye nafasi yake.
.Toa macho yako kwa kile unacho omba mwinue yeye usiangalie
kazi,kuolewa umwangalie yeye.

2.UFALME WAKO UJE
Unapotaka ufalme wa Mungu uje mahali fulani maana yake
unatamani mambo hayo yawepo ndipo anakufunulia njia ya
uzima.
.Ukitaka uwe mfanya biashara uwe tajili mkubwa. uwe mfanya
biashara lazima uwe na furaha ya Bwana k**a unataka unatak
uwe na furaha ya kudumu tafuta uwepo wa Mungu.Amani ndiyo
inayo tufanya kuwa huru hakikisha una amani

3.MAPENZI YAKO YATIMIZWE

Address

Bweri Stand
Musoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Mara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share