25/11/2025
IBADA YA JUMAPIL
TAREHE 23/11/2023
SOMO:UFAFANUZI WA SALA YA BWANA
Mathayo 6:9-13
[9]Basi ninyi salini hivi; Baba yetu uliye mbinguni, Jina lako litukuzwe, Ufalme wako uje, [10]Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani k**a huko mbinguni. hapa duniani k**a huko mbinguni [11]Utupe leo riziki yetu.[12]Utusamehe deni zetu, k**a sisi nasi tuwasamehevyo wadeni wetu[13]Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele Amina.
Sala ya Baba yetu imegawanyika katika makundi sita kuelewa
maneno haya kunakuwezesha kuomba kwa ufahamu maombi
yalio jaa imani nayanayo kubalika mbele za Baba wa Mbinguni.
.Unapoomba akupitia hii sara ya Baba yetu Kuna mambo ya
kuzingatia ambayo wajibu ni wetu ni mambo amabayo unafaa
kuzingatia
1.WAJIBU WETU
Hatua ya kwanza imebeba mambo mawili makubwa ambayo ni
heshima ya baba wa mbinguni na mapenzi yake.
.kumpa Baba wa mbinguni heshima yake yayaani nafasiyake kwako
na ufalme wake kwako na utatambua ukuu,wema na utukufu wa
Mungu
.Pili unataka mapenzi yake yaani fahari na furaha yake zitimie kwako
unaomba maisha yako yamejaa fahari na furaha ambazo
zinampendeza Mungu na zinakuletea baraka na Amana.
.Usiende mbele za Mungu wakat unajuwa shida zako,nenda mbele
ya Mungu ukimtukuza ukimudogeza kwenye maisha yako
umwinue.
.mbele zako Mungu anataka umwinue ashugulike na maisha yako
.Sili ya maombi kujibiwa ni kumpa Mungu heshima.
matendo ya mitume
.Mitume walipitia mamb mengi san walipigwa walitukanwa lakini
waliangalia heshima ya Mungu walimweke kwenye nafasi yake.
.Toa macho yako kwa kile unacho omba mwinue yeye usiangalie
kazi,kuolewa umwangalie yeye.
2.UFALME WAKO UJE
Unapotaka ufalme wa Mungu uje mahali fulani maana yake
unatamani mambo hayo yawepo ndipo anakufunulia njia ya
uzima.
.Ukitaka uwe mfanya biashara uwe tajili mkubwa. uwe mfanya
biashara lazima uwe na furaha ya Bwana k**a unataka unatak
uwe na furaha ya kudumu tafuta uwepo wa Mungu.Amani ndiyo
inayo tufanya kuwa huru hakikisha una amani
3.MAPENZI YAKO YATIMIZWE