12/03/2026
MSINGI WA LEO
Ecclesiology (Mafundisho kuhusu Kanisa)
Kanisa ni mkusanyiko wa waamini wa Yesu Kristo.
π Mathayo 16:18
"Nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda."
Kazi za Kanisa
1οΈβ£ Kuabudu Mungu π
Kanisa linakusanyika kumtukuza Mungu kwa maombi na sifa.
2οΈβ£ Kufundisha Neno la Mungu π
Waamini hufundishwa maandiko ili kuelewa mapenzi ya Mungu.
3οΈβ£ Kueneza Injili π
Kanisa lina jukumu la kuhubiri habari njema kwa kila mtu.
4οΈβ£ Kuwasaidia waamini kukua kiroho π±
Kanisa huwajenga waamini kupitia mafundisho na ushirika.
π Matendo 2:42
"Wakadumu katika mafundisho ya mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika ....