Efatha Church Mpwapwa

Efatha Church Mpwapwa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Efatha Church Mpwapwa, Church of Christ, Mpwapwa.

MAOMBI*Muombe MUNGU akupe kulijua neno lake. *Kuombea watu wengine waliopotea wapate neema ya kulijua neno na kumjua MUN...
12/05/2026

MAOMBI
*Muombe MUNGU akupe kulijua neno lake.
*Kuombea watu wengine waliopotea wapate neema ya kulijua neno na kumjua MUNGU.

KARIBU KATIKA IBAADA MAALUM YA MFUNGO WA SIKU 31 IKIWA LEO NI SIKU YA 12 TAREHE 12/05/2026 KANISA LA EFATHA MPWAPWA LILI...
12/05/2026

KARIBU KATIKA IBAADA MAALUM YA MFUNGO WA SIKU 31 IKIWA LEO NI SIKU YA 12 TAREHE 12/05/2026 KANISA LA EFATHA MPWAPWA LILILOPO ENEO LA MWANAKYANGA KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI MWANAKYANGA.

ASKOFU RUTH CHILANGWA:
SOMO: NGUVU YA NENO.
Neno la MUNGU ni njia sahihi ya kupita kunako mafanikio yako.
ZABURI 119:11
Ili uwe mtu wa neno lazima ujitenge na dhambi.
Unapolishika neno la MUNGU linakutenga na mabaya .
"Neno la MUNGU ni taa ukiongozwa na neno utaongozwa katika njia iliyo njema"
KUTOKA 23:20
Unapolifata neno la MUNGU huwezi kupotea.
"Ukishalijua neno inatakiwa kuandaa mazingira ya wewe na MUNGU wako, kupitia neno unajengwa .
Ongeza bidii kwenye kulisoma neno la MUNGU.
Ukisoma neno unapata nguvu.
Ukimtafuta MUNGU kwa bidii utamuona .
Ili uwe mtu wa MUNGU jikatae na dhambi,ukiliamini neno la MUNGU huwezi kufa maskini.
AYUBU 22:25
Nguvu ya MUNGU inapokuwa na wewe unakuwa na nguvu.
©️Ruth chilangwa

PICTORIAL HIGHLIGHT:DAY 12 OF FASTING AND PRAYING
12/05/2026

PICTORIAL HIGHLIGHT:DAY 12 OF FASTING AND PRAYING

10/05/2026

KARIBU IBADANI

Karibu na usikose ibada ya keshoKanisa lipo mpwapwa mtaa wa mwanakianga kwa mkurugenzi karibu na mwanakianga secondary.K...
09/05/2026

Karibu na usikose ibada ya kesho

Kanisa lipo mpwapwa mtaa wa mwanakianga kwa mkurugenzi karibu na mwanakianga secondary.

Kwa wewe ambae hautafika, basi usisite kujiunga live na ibada hii live kupitia channel yetu ya Youtube : Efatha Church Mpwapwa & channel yetu ya facebook: Efatha Church Mpwapwa

Karubu sana


Uhai tulionao ni ushuhuda mkuu wa utendaji wa Mungu katika maisha yetu. Kesho tena ni siku mpya inayotukutanisha wana wa...
09/05/2026

Uhai tulionao ni ushuhuda mkuu wa utendaji wa Mungu katika maisha yetu. Kesho tena ni siku mpya inayotukutanisha wana wa Mungu katika kumpa sifa na shukrani kwa ajili ya maisha yetu.

Basi tunakualika kuungana nasi katika ibada hii itakayoanza saa mbili kamili asubuhi katika kanisa la Efatha mwanakyanga karibu na shule ya sekondari mwanakyanga..

09/05/2026

Karibu ibadani

MATUKIO KATIKA PICHA:fungua kinywa (kufturu)ya pamoja.    Karibu pia katika ibada ya kesho saa tatu asubuhi hadi saa tan...
08/05/2026

MATUKIO KATIKA PICHA:
fungua kinywa (kufturu)ya pamoja.
Karibu pia katika ibada ya kesho saa tatu asubuhi hadi saa tano kamili

MaombiOngea kile ambacho MUNGU anataka akufanyie kwa jinsi ulivyo elewa umuombe MUNGU.
08/05/2026

Maombi
Ongea kile ambacho MUNGU anataka akufanyie kwa jinsi ulivyo elewa umuombe MUNGU.

Kipawa kikuu cha mbinguni, ni kukufanya kuwa mwana wa mbinguni.Unafanywa kuwa mshirika.Kuna hatua au majaribu utapitia i...
08/05/2026

Kipawa kikuu cha mbinguni, ni kukufanya kuwa mwana wa mbinguni.
Unafanywa kuwa mshirika.
Kuna hatua au majaribu utapitia ili kuvifikia vipawa vya mbinguni.
Kuna kujaribiwa je unafaa kuaminiwa k**a unauwezo wa kumiliki ndipo sasa unaanza kupewa mema uweze kumiliki ikiwa una utii .
©️ Mchungaji YUSTO MALLECELA

Address

Mpwapwa
41601

Telephone

+255627892420

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Efatha Church Mpwapwa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share