12/05/2026
Biblia haijaweka “dress code” maalum ya aina ya nguo kwa kila muumini, lakini inatuasa mavazi yetu yawe ya heshima na staha na Mioyo yetu iwe safi mbele za Mungu tunapokua kanisani na hata nje ya Kanisa.
Fatilia anachosema Mtumishi wa Mungu Apostle Boneka kwenye post hii.
Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
ECG The Jesus Nation Church Tanzania
Mtalemwa Dionis Rweyemamu
Boneka Adolph Boneka