Vijana Jimbo Katoliki Moshi

Vijana Jimbo Katoliki Moshi Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Vijana Jimbo Katoliki Moshi, Religious organisation, karolkawishe@gmail. com, Moshi.

Tumsifu Yesu Kristo..
12/01/2025

Tumsifu Yesu Kristo..

*FALSAFA YA SIKU*Ukiwasha 🔥, wengi watakuja pembeni 🤔 lakini moto ukizima, utajikuta unazoa majivu mwenyewe😁😁 Katika mai...
22/03/2022

*FALSAFA YA SIKU*

Ukiwasha 🔥, wengi watakuja pembeni 🤔 lakini moto ukizima, utajikuta unazoa majivu mwenyewe😁😁 Katika maisha tambua kwamba wapo wenye kushik**ana nawe ukiwa na hali nzuri, na kuna wanaoshik**ana nawe hata hali ikiwa mbaya😕😕
My Philosophy still remain kwamba Marafiki ni k**a nywele siku ukipata shida utajikuta umebaki kipara😁😁
*@🌹 PHILOSOPHER OF WISDOM🌹*

Amani kwenu...
02/02/2022

Amani kwenu...

ASILI YA SALA YA SALAMU MARIA KATIKA BIBLIA....SOMA KWA MAKINI... Inaletewa kwenu kwa hisani ya Riziki Kavishe, Jimbo Ka...
06/10/2021

ASILI YA SALA YA SALAMU MARIA KATIKA BIBLIA....

SOMA KWA MAKINI...
Inaletewa kwenu kwa hisani ya Riziki Kavishe, Jimbo Katoliki Moshi, Christ the King Parish.
___________________________________________________

Katika uchanganuzi wa sala hii karibu tuwe pamoja nikichambua neno moja Baada ya lingine.

SALAMU MARIA UMEJAA NEEMA, BWANA YU NAWE.
Neno hili tunalipata kupitia injili ya Luka 1:28 pale Malaika Gabriel alipomwamkia Bikira Maria akisema
"Salamu uliyepewa neema, Bwana yu nawe" hii ni salam ya kipekee aliyoipokea Bikira Maria yenye Habari njema kutoka kwa Mungu.

UMEBARIKIWA KULIKO WANAWAKE WOTE, NA YESU MZAO WA TUMBO LAKO AMEBARIKIWA.
Maneno haya tunayapata katika Injili ya Luka 1:42 pale Elizabeth alipomwambia Maria
"Umebarikiwa wewe katika wanawake wote, naye mzao wa tumbo lako amebarikiwa". Hii ni wazi kwamba Bikira Maria alibarikiwa kuliko wanawake wote kwa kuwa alikuwa ni Mteule wa pekee wa Mungu, atakayetuletea Mkombozi.

MARIA MTAKATIFU MAMA WA MUNGU.
Maneno haya tunayapata katika Injili ya Luka 1:43 akisema:-
" Hata Mama wa Bwana anijilie mimi?"
Ni ishara wazi kuwa, kumbe Bikira Maria alikuwa ni Mama wa Mungu, aliyetuletea Mkombozi.

UTUOMBEE SISI WAKOSEFU, SASA NA SAA YA KUFA KWETU.
Naneno haya pia twayapata katika kitabu cha Yakobo 5:16 pale Mungu anapotuambia
"Ungamianeni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, Mpate Kuponywa". Kumbe tunaalikwa kuombeana sisi kwa sisi, pia kushiriki kitubio.

AMINA.
Neno amina limekuwa ni shukurani, likimaanisha na iwe hivyo, linatuashiria kuwa maombi yetu na yapokelewe k**a tulivyoomba.
Wengi wamekuwa wakidai sala hii imeandikwa wapi katika Biblia, Kanisa Katoliki hatubaatishi wala Hatuoteshwi ndoto za Mchana, wala hatukariri Biblia, bali twaielewa na kufundisha kweli ya Mungu, si k**a wenzitu walivyozoea kukosoa bila kuichambua Biblia kwanza, huo ndio ukweli uliotoka katika maandiko Matakatifu na ya Kweli.
Nanyi mtaijua kweli, nayo kweli itawaweka huru.
WENU KATIKA KRISTO
RIZIKI KAVISHE

Zifahamu Baadhi ya aina za marafiki..1. Rafiki mali...   Huyu ni rafiki ambaye hupenda sana mali au pesa kutoka kwako, s...
05/10/2021

Zifahamu Baadhi ya aina za marafiki..

1. Rafiki mali...
Huyu ni rafiki ambaye hupenda sana mali au pesa kutoka kwako, siku ukiishiwa rafiki huyu kujifanya hakujui

2. Rafiki Mahusiano...
Huyu ni rafiki ambaye hupenda sana kutembea nawe kimahusiano akiona umepata mimba au mipango yako imeshafeli, hukaa pembeni na kuanza kukucheka.

3. Rafiki Mfariji..
Rafiki huyu huwa anapenda sana kuwa nawe uwapo kwenye shida hujitolea maisha yake kwa ajili ya kujifariji uwapo kwenye shida.

4. Rafiki mwaminifu....
Huyu ni rafiki ambaye hupenda kuwa karibu sana nawe kwenye shida na raha hupenda kujitoa sadaka kwa ajili yako, rafiki huyo hajionyeshi kwa watu.

5. Rafiki Sura...
Huyu ni rafiki ambaye hukupenda kwa sura au tabia yako, rafiki huyu hujipendekeza sana kwako, anaweza kuja kimahusiano au kuwa nawe katika kubadilishana mawazo.

6. Rafiki Mshauri...
Rafiki huyu hupenda kukishauri sana, anaweza kuwa mshauri mzuri au mbaya, siku zote hakosi furaha..

7. Rafiki Mlalamikaji...
Rafiki huyu hupenda kulilalamikia kila muda

8. Rafiki mtiifu ..
Rafiki huyu hupenda sana kutii kila unachomwambia, hapendi sana kujiona wa juu bali hupenda kujishusha ..

9. Rafiki Ndugu...
Huyu ni rafiki ambaye hupenda sana awe ndugu yako kwa mwonekano mwema na tabia njema uliyo naye, hupenda sana awe k**a ndugu yako wa damu.

10. Rafiki Ndoa...
Huyu ni rafiki ambaye hupenda sana kukuwazia kuhusu ndoa kati yako na yeye, rafiki huyu hutumia kila namna kushawishi na kukutega, ukiingia kwenye mtego huo, ndoa hiyo huaribika baada ya miezi 6.

11.Rafiki mwaminifu, mkuu na wa kweli....
Huyu ni rafiki aliye jitoa sadaka msalabani ili akukomboe, alitambua thamani yako na hakupenda kukuacha upotee au uangamie, rafiki huyo ni Kristo....

Hao ni baadhi ya marafiki kwenye maisha yetu, kabla ya urafiki yafaa umuombe Mungu akupe rafiki wema katika maisha yako, watakao kuongoza kwenye haki na utakatifu siku zote..
WENU KATIKA KRISTO
RIZIKI KAVISHE
NILIYE MDOGO

Amqni iwe kwenu!Mafanikio yako siku zote huletwa na wewe mwenyewe, sio kila mtu ni Rafiki mwaminifu, hata ndugu yako ana...
27/05/2020

Amqni iwe kwenu!
Mafanikio yako siku zote huletwa na wewe mwenyewe, sio kila mtu ni Rafiki mwaminifu, hata ndugu yako anaweza kuwa kikwazo cha maendeleo yako, hatua yako mbele kwa Mungu. .

Ukitaka kuiona siku njema, basi Zuia ulimi wako usinene Mabaya

jimbo Katoliki Moshi

Tumuombe Mungu atunusuru na Janga hili la Corona, kupitia ulinzi wake, atuweke salama siku zote za maisha yetu, tunaomba...
10/05/2020

Tumuombe Mungu atunusuru na Janga hili la Corona, kupitia ulinzi wake, atuweke salama siku zote za maisha yetu, tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu....

Mapendoooo
04/01/2020

Mapendoooo

God is good.......
27/11/2019

God is good.......

Address

Karolkawishe@gmail. Com
Moshi

Telephone

+255676465240

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vijana Jimbo Katoliki Moshi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share