02/04/2024
UKOMBOZI WA VIFUNGO VYA ARDHI SEEM 7 Njia mbaya zinazo muhusisha mtu na ardhi na kufungwa kwake
ombea ardhi tunaondoa asira ya bwana
tembea kwenye njia mbaya nakutenda dhambi ardhi hinatunza kumbukumbu
Kumbukumbu la Torati 30
19 : Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;
tenda dhambi jua Ardhi hinatunza kumbukumbu
mbaya na dhambi tulizo zitenda mfano uzinzi
Makundi Aya ni yakuyaombea na kufanya matengenezo ni makundi hambayo yapo hatarini
(1) yeyote anae ishi bila ndoa ya kanisani uyo ni mzinzi na ni mzinzi mzoefu anaezini Kila siku mbele za mungu
(2)Yeyote mwenye ndoa za Mila ndoa zote za Mila inashikiliwa na miungu nau ni mlango wa kurusu magonjwa ya kurithi
(3)Yeyote mwenye ndoa ya serikali maombi ya kushulikia ulifungia wapi na nina alikufungisha hapa utashindana na miungu ya taifa lako
(4) Familia zote tunazotoka kwenye ndoa nyingi hapa uta jiombea wewe na familia kwa ujumla
(5)Watoto wote tulio zaliwa nje ya ndoa ya kikristo wote wapo kifungoni
(6)Uzinzi wa jinsia Moja ni hatari na kifungo
(7)Uzinzi wa wanyama
(8)Kujichua ni hatari nikifungo hicho
(9)Kubaka au kubakwa wanausika wote
10)bibi arusi na bwana arusi walio fanya uzinzi kabla ya ndoa
11)ulifunga ndo na mtoto yupo tumboni ni kosa kubwa
Na mtoto wa kundi Ili akiwa wakike atajikuta anapendwa na wababa k**a ni WA kiume najikuta napendwa na majimama
12)uzinzi wenye haibu kati ya ndungu na ndungu nidhambi kubwa
13)yeyote alie zini na mganga wa kienyeji
Mambo ya Walawi 20
6 : Na mtu yule atakayewaendea wenye pepo, na wachawi, ili kuzini pamoja nao, nitakaza uso wangu juu ya mtu yule, nitamtenga na watu wake.
alie zini na mganga utashanga unasingiziwa wewe ni mchawi
14)ni wale walio ishi kwanza ndo wakaja Waka funga ndoa ni wazinzi wazoefu alie zoea kuzini mara kwa Maria
Kumbuka dhambi inamshara
15)wale wenye kuangalia picha za ngono ni madhabahu ya kuzim kabisa na kwatarifa Yako pepo la uzinzi lonakaaga kwenye macho
Ezekieli 23
48 : Hivyo nitaukomesha uasherati katika nchi hii, ili wanawake wote wafundishwe, wasifanye mambo ya uasherati wenu.
49 : Nao watawalipa ninyi malipo ya uasherati wenu, nanyi mtachukua dhambi za vinyago vyenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana MUNGU.
niwapi ulipo anguka ukatubu k**a ni gesti au kwenye nyumbani,shambani kumbuka ulifungwa hapo
yenye mambo magum na mtu uwa inatembea na mtu
Mambo ya Walawi 19
29 : Usimnajisi binti yako, ili kumfanya awe kahaba; isiwe hiyo nchi kuuandama ukahaba, na nchi kujawa na uovu mkuu.
Mambo ya Walawi 18
1 : Bwana akanena na Musa, na kumwambia,
2 : Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
3 : Nanyi msifanye matendo k**a yale ya nchi ya Misri mliyokaa; wala msifanye matendo k**a yale ya nchi ya Kanaani, nitakayowapeleka; wala msiende katika amri zao hao.
4 : Mtazifanya hukumu zangu, nanyi mtazishika amri zangu, ili mwenende katika hizo; mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
5 : Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na hukumu zangu; ambazo mtu akizitumia ataishi kwa hizo; mimi ndimi Bwana.
6 : Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana.
7 : Utupu wa baba yako, wala utupu wa mama yako, usifunue, maana ndiye mama yako; usifunue utupu wake.
8 : Utupu wa mke wa baba yako, usifunue; maana, ni utupu wa baba yako.
9 : Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue.
10 : Utupu wa binti ya mwanao mume, au wa binti ya binti yako, utupu wao hao usifunue; kwa kuwa ndio utupu wako mwenyewe.
11 : Utupu wa binti ya mkewe baba yako, aliyezaliwa na baba yako, yeye ni umbu lako, usifunue utupu wake.
12 : Usifunue utupu wa umbu lake baba yako; maana, yeye ni jamaa aliye karibu.
13 : Usifunue utupu wa umbu la mama yako; maana, yeye ni jamaa ya mama yako ya karibu.
14 : Usifunue utupu wa ndugu ya baba yako, usimkaribie mkewe huyo; yeye ni shangazi lako.
15 : Usifunue utupu wa mkweo mwanamke; yeye ni mke wa mwanao; usifunue utupu wake huyo.
16 : Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.
17 : Usifunue utupu wa mwanamke na binti yake; usimtwae binti ya mwanawe mume, au binti ya binti yake, ili kufunua utupu wake; hao ni jamaa ya karibu; ni uovu mkuu.
18 : Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.
19 : Nawe usimkaribie mwanamke kufunua utupu wake wakati wa kutengwa kwa ajili ya unajisi wake.
20 : Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.
21 : Nawe usitoe kizazi chako cho chote na kuwapisha kwa Moleki, wala usilinajisi jina la Mungu wako; mimi ndimi Bwana.
22 : Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.
23 : Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.
24 : Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo; kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote;
25 : na hiyo nchi imekuwa najisi; kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake, na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa.
26 : Kwa hiyo mtazishika amri zangu na hukumu zangu, wala msifanye machukizo hayo mojawapo; yeye aliye mzalia, wala mgeni aketiye kati yenu;
27 : (kwa kuwa hao watu wa nchi wameyafanya machukizo haya yote, hao waliotangulia mbele zenu, na hiyo nchi imekuwa najisi;)
28 : ili kwamba hiyo nchi isiwatapike na ninyi pia, hapo mtakapoitia unajisi, k**a ilivyoitapika hiyo taifa iliyotangulia mbele yenu.
29 : Kwani mtu awaye yote atakayefanya machukizo hayo mojawapo, nafsi hizo zitakazoyafanya zitakatiliwa mbali na watu wao.
30 : Kwa ajili ya hayo yashikeni mausia yangu, ili kwamba msifanye kabisa desturi hizi zichukizazo mojawapo, zilizotangulia kufanywa mbele zenu, wala msijitie unajisi katika mambo hayo; mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
inaweza tapika Maisha ya mtu na kazi ya mtu
Unapo zaidi katika ardhi watu wanatapikwa na ardhi zao
Yoeli 1
10 : Shamba limeharibika, nchi inaomboleza; maana nafaka imeharibika, divai mpya imekauka, mafuta yamepunguka.
11 : Tahayarini, enyi wakulima; Pigeni yowe, enyi watunzaji wa mizabibu; Kwa ajili ya ngano na shayiri, Maana mavuno ya mashamba yamepotea.
12 : Mzabibu umesinyaa, mtini nao umevia; Nao mkomamanga na mtende na mtofaa; Naam, miti yote ya mashamba imekauka; Maana furaha imekauka katika wanadamu.
13 : Jikazeni mkaomboleze, enyi makuhani; Pigeni yowe, enyi wahudumu wa madhabahu; Njoni mlale usiku kucha katika magunia, Enyi wahudumu wa Mungu wangu; Kwa kuwa sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji Zimezuiwa katika nyumba ya Mungu wenu.
14 : Takaseni saumu, iteni kusanyiko la dini, Wazee na wakusanye wenyeji wote wa nchi; Waende nyumbani kwa Bwana, Mungu wenu, Na kumlilia Bwana,
Yoeli 1
15 : Ole wake siku hii! Kwa maana siku ya Bwana inakaribia, nayo itakuja k**a uangamivu utokao kwake aliye Mwenyezi.
16 : Je! Chakula hakikukatiliwa mbali mbele ya macho yetu? Naam, furaha na kicheko mbali na nyumba ya Mungu wetu?
17 : Mbegu zinaoza chini ya udongo wake; ghala zimeachwa ukiwa; mabanda yamevunjika; kwa maana nafaka imekauka.
18 : Jinsi wanyama wanavyougua! Makundi ya ng'ombe yamefadhaika, kwa sababu hawana malisho; naam, makundi ya kondoo yamepata mateso.
(@)Dhambi ya uzinzi ufunga milango ya baraka
(@)Lazima tuombe mungu aturejeshe tuliyo poteza uzinzi unamalizia vitu kwenye Maisha ya mtu
(@)Kwajili ya dhambi ya uzinzi utajikuta Kila unacho panga kinaishia njiani ukifungua biashara inakufa
(@)Ardhi inayo tapika kitu Cha mtu inatabia bizi