29/03/2026
*SEMINA YA NENO LA MUNGU KWA WATU WOTE*
*Somo:* _Nguvu ya Pasaka_
-——————————————
Ni kuanzia Jumapili leo tarehe 29/03/2026 hapa *_KKKT USHARIKA WA MLIMAKOLA Morogoro_* .
Karibu sana katika semina hii kubwa itakayoongozwa na Mtumishi wa Mungu *Dr.William Kopwe.*
*Muda:saa9:30Alasiri*
Karibu sana,usitamani kukosa semina hii kubwa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
_*Upatapo Ujumbe huu,Mjulishe na mwingine*_