Vijana Jimbo Katoliki Morogoro

Vijana Jimbo Katoliki Morogoro karibuni sana katika Neno la Mungu

BUSARA ZA WAHENGAWahenga husema, Usimpige nyoka mkia kabla haujajua kichwa kiko wapi πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”Siku zote ukiona panya anamchek...
15/02/2023

BUSARA ZA WAHENGA
Wahenga husema, Usimpige nyoka mkia kabla haujajua kichwa kiko wapi πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Siku zote ukiona panya anamcheka paka, ujue yupo karibu na shimoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ukiona mtu anadharau wengine na kuwatenda vibaya, jua pengine anajua wapo wa kumteteaπŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Wapo watu wanaoringia wengine kwa sababu tu wana maisha mazuri, na kuongea vibaya kwa sababu kuna mtu wa kumpigia kifua,😳😳😳😳😳😳😳😳
Tambua wapo wasioongea lakini wana vingi......πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

Kumbuka hata panya anaweza kumcheka paka kisa yuko karibu na shimoπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ na anaweza kukosea shimo akaambulia kujuta na hata kupoteza mkia wakeπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸƒβ€β™‚οΈ
Usimdharau mtu kwa kuwa wewe ni kipenzi cha boss😳😳
Waheshimu wote kwa sababu siku moja tutakufa piaπŸ€”πŸ€”
WENU KATIKA KRISTO
RIZIKI KAVISHE
NILIYE MDOGO

πŸ’ž OF WISDOM πŸ’ž

DALILI ZA ANGUKO KWA MWANADAMU, ZINAZOWEZA KUMFANYA NABII WA UONGONa    Frt. Kavishe1. Utaambiwa Kanisa unalosali unapot...
13/05/2022

DALILI ZA ANGUKO KWA MWANADAMU, ZINAZOWEZA KUMFANYA NABII WA UONGO
Na
Frt. Kavishe

1. Utaambiwa Kanisa unalosali unapotea njoo huku

2. Kanisa lenu bado mnakula chakula cha kitoto yaani mahubiri (Chakula cha Kweli ni Kristo Mwenyewe)

3. Njoo huku utapata miujiza,(Tambua muujiza wako huletwa na Mungu pekee)

4. Njoo huku utaombewa. ( kumbuka biblia inasema Ombeaneni ninyi kwa ninyi mpate kusamehewa uovu wenu)

5. Kukatisha wengine tamaa juu y kupokea mwili wa Kristo (Kumbuka Biblia inasema Aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele)

6. Kujipa majina ya umaarufu (Biblia inasema Kuwa Petro alionywa na Kristo asiseme ya kuwa yeye ni nani).

7. Kuponda imani ya mwingine na kujiona uko imara.(kumbuka Tu wamoja kwa upendo wa Kristo)

8. Kuichukia imani ya mwingine na kusubiri mpaka akiingia imani yako ndipo unaongea nae kwa kuwa mmefanana kiimani

9. Kukataa kukosolewa na kujiona uko juu kiimani,Kimawazo pia, hutaki kushauriwa

10. Kutumia Biblia kwa njia ya kuongoza watu kumbe nguvu za kishirikina zipo juu yako au unaponda wengine kwa mistari fulani ya biblia

11. Kulala na kuota ndoto za abunuasi kisha unawaambia watu Mungu ameniambia kuwa.....

Kristo atuongoze katika kujiepusha na anguko hilo, kwa kutukirimia Baraka zake, ili tuweze kuujongea uzima wa milele siku zote.

22/09/2021
Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na Upendo wa Mungu Baba na ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote
22/01/2020

Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo na Upendo wa Mungu Baba na ushirika wa Roho Mtakatifu viwe nanyi nyote

God is goooooood
07/11/2019

God is goooooood

Address

Morogoro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Vijana Jimbo Katoliki Morogoro posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Vijana Jimbo Katoliki Morogoro:

Share