Tanzania Youth Ministries-TAYOMI

Tanzania Youth Ministries-TAYOMI "Change The Life of The Youth to change the World"

23/05/2026
Pichani ni matukio ya Mkutano Mkuu wa Baraza la Waratibu, uliofanyika mkoani Morogoro shule ya Sekondari Dr. Mezger, Tar...
03/05/2026

Pichani ni matukio ya Mkutano Mkuu wa Baraza la Waratibu, uliofanyika mkoani Morogoro shule ya Sekondari Dr. Mezger, Tarehe 02.05.2026.

  Kibondo Mkoa wa Kigoma, vijana 600+ wamehudhuria kambi.
06/04/2026


Kibondo Mkoa wa Kigoma, vijana 600+ wamehudhuria kambi.

06/04/2026


Kambi ya Nkasi

06/04/2026


 Kambi ya Misenyi Mkoa wa Kagera, Roho MTAKATIFU alihudumia watu wake.
06/04/2026


Kambi ya Misenyi Mkoa wa Kagera, Roho MTAKATIFU alihudumia watu wake.

04/04/2026


Kambi ya Arusha, Precious Leaders Sec.

01/04/2026


Mtwara kambi inafanyikia Mtwara Girls High school, hadi sasa vijana 238 wameripoti kambini, kesho asubuhi masomo yanaanzia kufundishwa. Hakika kila kona ya Tanzania, kuna sauti zinasikika zikisema, IT IS FINISHED, I AM A WINNER.

 Dodoma Jiji tumeshaanza kuripoti kambini leo hii, hapa Shule ya Sekondari St. Theresa.
01/04/2026


Dodoma Jiji tumeshaanza kuripoti kambini leo hii, hapa Shule ya Sekondari St. Theresa.

01/04/2026


Kambi ya MBULU - Hydom, ilikwenda vizuri na kufungwa Tarehe 30.03.2026, vijana 260 wamehudhuria kambi hii, UTUKUFU KWA BWANA YESU ALIYE YAMALIZA YOTE PALE MSALABANI.

Address

Morogoro

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tanzania Youth Ministries-TAYOMI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to Tanzania Youth Ministries-TAYOMI:

Share