18/02/2026
Tunawatakia waumini wote wa Katoliki Kwaresima njema yenye toba na baraka.
Kufunga, kusali na kutubu ni njia za kutuwesesha kutenda wema kwa wengine, hututakasa dhidi ya mazoea mabaya, hutuimarisha kiroho, hutuchochea kuwasaidia wenye uhitaji, na hutuwezesha kuwa karibu zaidi na Mungu na wenzetu.