fpctsua_mazimbucenter

fpctsua_mazimbucenter Karibu katika kanisa letu lililo katika kampasi ya Solomon Mahlangu ya Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine morogoro
Chini ya Mch. Prof. Eliot C. Phiri

Our 18th day fasting and praying for our church and all the ministries in it for effectiveness in all aspects Ni siku ye...
22/01/2022

Our 18th day fasting and praying for our church and all the ministries in it for effectiveness in all aspects

Ni siku yetu ya 18 katika kufubga na kuonba kuliombea kanisa letu na idara zake zote ili ziendelee kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi.






Our 17th day in fasting and prayers ,today we are putting forward our nation leaders for their from Him, by Him , for Hi...
21/01/2022

Our 17th day in fasting and prayers ,today we are putting forward our nation leaders for their from Him, by Him , for His glory

Katika siku yetu ya 17 ya kufunga na kuomba tunawaombea viongozi wa serikali pamoja na mihimili ya serikali kwa ujumla kwani Mungu aliwakubali wawe viongozi,akawachagua kutoka kati yetu kwa utukufu wake








tanzania

In our 16th day fasting & praying for all bible colleges in Tanzania which are the tools to transform man and woman of G...
20/01/2022

In our 16th day fasting & praying for all bible colleges in Tanzania which are the tools to transform man and woman of God to the full understand of the kingdom to be the tools of transforming the church.
For
"Wisdom is the principal thing; therefore get wisdom: and with all thy getting get understanding". Proverbs 4:7 (KJV)

Ni siku yetu ya 16 tukifunga na kuombea vyuo vya biblia nchini ambavyo ni moja ya nyenzo ya kuinua watumishi katika ufahamu wao ili waweze kulisaidia kanisa kumwelewa Mungu na ufalme wake tunaoutazamika
Maana
Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.( Mithali 4:7)



It's our 15th day of fasting and prayers together with all FPCT members allover the country. Tanzania still needs His en...
19/01/2022

It's our 15th day of fasting and prayers together with all FPCT members allover the country. Tanzania still needs His encounter. Pray!!

Ni siku yetu ya 15 ya kufunga na kuomba tukiungana pamojabna washirika wote wa FPCT nchi nzima.
Tanzania bado tunahitaji kukutana na Mungu. Omba!!



Wasiliana nasi kwa Whatsapp
17/01/2022

Wasiliana nasi kwa Whatsapp

It's our 13th day of fasting and prayers together with all member of FPCT all over the country.With unit we can beat a l...
17/01/2022

It's our 13th day of fasting and prayers together with all member of FPCT all over the country.
With unit we can beat a lot of thousands

Ni siku yetu ya 13 katika mfululizo wa kufunga na kuomba siku 40 pamoja na wana FPCT wote nchi nzima.
Tunasimama katika umoja kwani katika umoja tutapiga maelfu ya kutosha


As long as you have "the now" it is always the proper and the ever best time to praise and worship God in spiritEcclesia...
16/01/2022

As long as you have "the now" it is always the proper and the ever best time to praise and worship God in spirit
Ecclesiastes 7:10

Maadamu upo hai sasa ni mda sahihi na adhimu kwa kumwabudu Mungu katika roho na kweli kuliko siku zingine zote zilizowahi kuwapo
Muhubiri 7:10


Our 12th day of fasting and prayers together with all member of the Free Pentecostal Church of Tanzania all over the cou...
16/01/2022

Our 12th day of fasting and prayers together with all member of the Free Pentecostal Church of Tanzania all over the country

Siku yetu ya 12 katika maombi ya kufunga tukiungana na washirika wote nchini wa kanisa la FPCT




Our 11th day of fasting and prayers nationally for all members of the Free Pentecostal Church of Tanzania ,  Ni siku yet...
15/01/2022

Our 11th day of fasting and prayers nationally for all members of the Free Pentecostal Church of Tanzania ,

Ni siku yetu ya 11 ya kufunga na kuomba kitaifa kwa makanisa yetu ya the Free Pentecostal Church of Tanzania ,


Siku yetu ya 5 katika maombi ya kufunga ,sisi   tunaungana na na makanisa yote ya FPCT maana maombi ni chanzo cha mambo ...
09/01/2022

Siku yetu ya 5 katika maombi ya kufunga ,sisi tunaungana na na makanisa yote ya FPCT maana maombi ni chanzo cha mambo yote.

Our 5th day of fasting and prayer
Together with all FPCT member we invites you for prayer brings everything to life.

Siku yetu ya nne Tukamwite Bwana kwa habari ya kazi yake tukiwa tumefunga.It's the 4th day Speaking to the lord for his ...
08/01/2022

Siku yetu ya nne
Tukamwite Bwana kwa habari ya kazi yake tukiwa tumefunga.

It's the 4th day
Speaking to the lord for his work matters we encounter



Ungana nasi  na washirika wote wa FPCT inchini katika siku yetu ya tatu ,tunaendelea kumwita Bwana Join us  and all FPCT...
06/01/2022

Ungana nasi na washirika wote wa FPCT inchini katika siku yetu ya tatu ,tunaendelea kumwita Bwana

Join us and all FPCT members national wise on our third day , in prayers to our Lord

Address

Morogoro

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when fpctsua_mazimbucenter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to fpctsua_mazimbucenter:

Share

Category