12/07/2026
Luka 18:1
"Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa."
✍️Ni wakati wa kuacha shughuli za kawaida kwa muda na kumtafuta Mungu kwa bidii.
✍️5 Days of Fasting & Prayer 📅 13–17 July 2026
Karibu wewe, rafiki zako na Mungu ana jambo maalum kwa ajili yako.
Come and have an encounter with God