08/11/2023
8/11/2023
SEMINA YA NENO LA MUNGU
NA MTUMISHI WAMUNGU JOSIAH MGONJA
SOMO:MAFINIKIO
*Mafanikio ni kufikia matarajio unapo timizamalengo hayo ndio mafanikio
*Mafanikio nikufikia malengo uliyo jiwekea
Waefeso 1:3
[3]Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;
USTAWI;
"USTAWI NIKUWANA MAFANIKIO YAKIROHO NA KIMWILI
AKILI TATU 3 UNAZOTAKIWA KUWANAZO
1,AKILI YA MOYONI
2,AKILI YA KICHWANI
3,MATOKEO YAMAKUBALIANO YAAKILI HIZO MBILI
Kutoka 35:35
[35]Amewajaza watu hao akili za moyoni, ili watumike katika kazi kila aina, ya mwenye kuchora mawe, na kazi ya werevu, na ya mwenye kutia taraza, katika nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri, na ya mwenye kufuma nguo; ya hao wafanyao kazi yo yote, na ya wenye kuvumbua kazi za werevu.
Mithali 3:1-4
[1]Mwanangu, usiisahau sheria yangu,
Bali moyo wako uzishike amri zangu.
[2]Maana zitakuongezea wingi wa siku.
Na miaka ya uzima, na amani.
[3]Rehema na kweli zisifarakane nawe;
Zifunge shingoni mwako;
Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
[4]Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri,
Mbele za Mungu na mbele ya mwanadamu.
"Kipawa kinakupa kufanikiwa katika dam nanyama,