12/06/2025
Shalom! Kwenye maisha ya uduma tunaitaji mtu mmoja mwenye mafuta zaidi Yako wa kukuinua nimesoma kitabu cha Joshua kimenipa Raha sana haswa nilipo fika kwa Kalebu na Joshua wote walikuwa na nguvu lkn Kalebu aliambiwaga na Musa kinabii kuwa atamiliki mlima ila ni lini hakusemq na neno la Mungu alipiti Bure ila wkt ulipo fika Kalebu alikuwa na uwezo wa kumiliki huo mlima ila akamwambia Joshua nipe huo Mlima .alitaka upako wa Joshua utamke kauchukue hata km watu wanakaa ila niliambiwa ni wangu tamka TU niupandie nini najifunza huwezi peke Yako ili upande mlima wako ,kazi Yako, biashara Yako Kuna tamko la kiungu litamkwe kwako na Leo natamka Mungu akupe aja ya moyo wako .ukamiliki na kutawala ulmwengu wako kwa jina la Yesu. Tafuta mtu sahii wa kukutamkia mema mwenye nguvu za Mungu karibu nipigie 0715033033 kwa msaada zaidi .