30/04/2026
Kanisa la ECG-The Jesus Nation Church Mbeya Branch. Tunapenda kukukaribisha ewe mwanamke uliyeko Jijini Mbeya na maeneo jirani kwenye Semina ya wanawake ni ibada ya TAJI LA MWANAMKE siku ya Jumamosi kuanzia saa 9:00 Alasiri hadi saa 12 jioni.
Semina hiyo tutakuwa na watumishi wa Mungu Mchungaji mwenyeji, Pastor Peter Msihi na Mchungaji mgeni toka ECG Church Morogoro Tanzania Pastor Rufina Bernard.
Hii si ya kukosa ewe mwanamke na Binti uliyeko Jijini Mbeya na maeneo jirani.
Prophet Shepherd Bushiri
Prophetess Mary Bushiri
Rufina Bernard