05/04/2026
AMEFUFUKA! Jiwe lilitolewa, kaburi halikuweza kumshikilia na tumaini lilirejeshwa kwa wanadamu wote.
Alichoahidi Mungu, alikitimiza.
Kilichoonekana kuwa mwisho haukuwa mwisho wake ,
Leo tunaishi katika ukweli wa ushindi wake kwa imani kwa sasa, na kutumaini yale yajayo.
📖 Mathayo 28:5-10