MWL TITUS SWEBE

MWL TITUS SWEBE Teaching the WORD OF GOD

EE NAFSI YANGU UMTUMAINI BWANA!!!!Zaburi 42:10-11Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanapo...
22/12/2025

EE NAFSI YANGU UMTUMAINI BWANA!!!!
Zaburi 42:10-11
Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako? Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.

1 Yohana 3:10 "Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na...
13/11/2025

1 Yohana 3:10 "Katika hili watoto wa Mungu ni dhahiri, na watoto wa Ibilisi nao. Mtu ye yote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.”

09/08/2025

Hii nimeipenda 😂😂😂

WEWE UNAEMTUMAINIA BWANATena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina BWANA, wala hukuchoka.Lakini nina neno juu...
09/02/2025

WEWE UNAEMTUMAINIA BWANA
Tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina BWANA, wala hukuchoka.Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, BWANA aja kwako, naye atakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
Ufunuo 2:3-5

“Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.”   Zaburi 143:2
12/11/2024

“Wala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.”
Zaburi 143:2

Japokuwa nimechoka, AHADI ZA BWANA ZINANIHUISHA TENA🔥🔥Kwa Nini unakata tamaa???Ufunuo wa Yohana 16:15  Tazama, naja k**a...
31/07/2024

Japokuwa nimechoka, AHADI ZA BWANA ZINANIHUISHA TENA🔥🔥

Kwa Nini unakata tamaa???

Ufunuo wa Yohana 16:15 Tazama, naja k**a mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.”

“Nawe ukienda katika njia zangu, na kuyashika mausia yangu, na amri zangu, k**a baba yako Daudi alivyokwenda, basi nitaz...
11/07/2024

“Nawe ukienda katika njia zangu, na kuyashika mausia yangu, na amri zangu, k**a baba yako Daudi alivyokwenda, basi nitazifanya siku zako kuwa nyingi.”
— 1 Wafalme 3:14

Anger and bitterness are demon's two-edged swords that harms both the one wielding it and anyone to whom it is directed,...
24/06/2024

Anger and bitterness are demon's two-edged swords that harms both the one wielding it and anyone to whom it is directed, even if it is yourself. Anger and bitterness can be directed outwardly or inwardly.

NI BWANA AMETENDAKwa msaada wa Bwana bado tunaendelea, ni majira kwenda hatua nyingine.
03/04/2024

NI BWANA AMETENDA
Kwa msaada wa Bwana bado tunaendelea, ni majira kwenda hatua nyingine.

24/03/2024
AH!!! SITAOGOPA“Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana Bwana YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo...
09/03/2024

AH!!! SITAOGOPA
“Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana Bwana YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu.”
— Isaya 12:2

17/02/2024

Address

ILEMI
Mbeya
6318

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MWL TITUS SWEBE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to MWL TITUS SWEBE:

Share