MT Daniely Siame

MT Daniely Siame Karibu katika Page Yetu hii ya Huduma, Na Huduma Hii Ni Kwa Mwili Wa Kristo. MUNGU AKUBARIKI

Namshukuru Mungu Leo Nimeongeza Mwaka MwingineHBD TO MEBABA GJaamani napokea zawadiii Kuanzia Garii na zawadi zingine ha...
02/02/2025

Namshukuru Mungu Leo Nimeongeza Mwaka Mwingine
HBD TO ME
BABA G
Jaamani napokea zawadiii Kuanzia Garii na zawadi zingine hahaha

26/12/2024

Karibu tujenge na sio kubomoa

05/11/2024

K**a umeielewa hii, Njia ipii Unaona Itakuwa sahihi kwako, A au B?🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

Natamaniii Kucheka baadae Naona huzuni Ndani yangu, Ndoa zina mambo
04/11/2024

Natamaniii Kucheka baadae Naona huzuni Ndani yangu, Ndoa zina mambo

Bwana Yesu Asifiwe Mimi pamoja na mke wangu Tunawasalimu kwa Jina Kubwa la Yesu KristoNo 1Somo tulilo nalo leo Ni mhimu ...
03/11/2024

Bwana Yesu Asifiwe
Mimi pamoja na mke wangu Tunawasalimu kwa Jina Kubwa la Yesu Kristo

No 1

Somo tulilo nalo leo Ni mhimu saana Kila mtu aweze kulipitia kwasababu Ni somo ambalo lina sirii Nyingi Za ufalme wa Mbinguni, na namna shetani anaweza kukubana Kwenye Kipengele cha MAJIRA

SOMO
NAMNA SHETANI ANAWEZA KUKUFUNGA KWENYE NYAKATI NA MAJIRA ILII USIFANIKIWE KWA WAKATI

LUKA 19:41-44
[41]Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
[42]akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
[43]Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
[44]watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.

👉 Alipouona Mji alianza kulia, Na ukisoma mistarii ya Nyuma kidogo utaona Yesu Wakati anawatuma wale wanafunzi wawili anawaambia Nendeni Mkamfungue mwana Punda, Na Baada ya wanafunzi kufanya hivyo Yesu aka panda yule mwana punda na alipopanda utaona Watu wa mjii wa Yerusalemu utaona namna walivyo Anza kushangilia na kupiga vigele gele na kutandika nguo zao chini ilii Yesu apite juu ya nguo zao Wakaanza kumuimbia na nyimbo kiujumla Wote walikuwa na furaha mnoo
Hadi mstarii wa 40 bado wanaimba nyimbo

Ghafla mstari wa 41
Yesu akaanza Kulia, na akatoa machozi
Sasa wametoka kwenye Furaha Alfu wale watu wa Yerusalem wanashangaa ghafla mtu anaanza Kulia

Na Sababu ya Yesu Kulia ni hii
Ni kwasababu Mjii HAUKUTAMBUA MAJIRA YA KUJILIWA

Sasa Cheki Ilionekana ni sababu ambayo haina mashiko kwa ule mjii wa Yerusalem
Na Biblia inazungumza wazi kabisa Yesu alizungumza Hata Wale watu aliokuwa nao Waliweza kusikia yale maneno

Na kwa wale watu ambao wanajua kufwatilia Wataona kuwa Ule Utabiri wa Yesu juu ya Mjii wa Yerusalem Ule Utabiri uliweza Kujitokeza Miaka 40 baadae ( 70 B.K)

WAKATI YERUSALEM ILIPO ANGAMIZWA NA JESHII LA KIRUMI NA MAELFU YA WAYAHUDI WALIUWAWA
Sasa angalia, watu hawa walikuwa na kosa moja Tu
KUTO TAMBUA MAJIRA YA KUJILIWA KWAO
Maana yake wangekuwa wanatambua majira ya kujiliwa kwao Wangeweza kujipanga, lakini hawakutambua majira

Ndio sababu Kuna Mambo unayapitia Leo ni kwasababu ya msimu uliopita Na Hukutambua majira ya kujiliwa kwako
-unapitia ni kwasababu hukujua uzuri au ubaya wa siku zijazo, Unaishi kwenye msimu mpya kwa kutegemea Majira ya Zamani

Ngoja nijaribu hii, Ukiwa Huna saa inayo kuongoza kuwa sasa hivii ni sangapii, Unaweza Zani Kila Mchana Ni Saa 6

Unaweza ishii kwa majira ya saa 6 wakati Sio saa 6 unakuta ni saa 8

Bado hujanielewa nasema hivii
Usitembee na historia ya mwaka jana ya kufeli, ukatembea nayo mwaka huu

Kwanini usitembee nayo? Ni kwasababu Jana Sio Leo
Ile kwamba Jana umeshindwa haina maana kwamba Na Leo utashindwa

Ilee kwamba Jana umelala na njaa haina maana Leo utalala na njaa

Kuna watu Mwaka Jana waliomba wapate mtoto na hawakupata Kwahyo hawaoni haja ya kuendelea kuomba tena eti kwasababu Jana hawakujibiwa,

Ngoja nikwambie huu ni wakati wako Wa Kujibiwa Maombi Yako Uliyo omba kwa muda mrefu

Kati ya kitu shetani anapambana nacho Kwenye Maisha ya Kila Mwanadamu ni hikii

SHETANI ANAPAMBANA NA MAJIRA NA NYAKATI ZILIZO BEBA MAJIBU YA MAOMBI YAKO YA MUDA MREFU Ndio maana Daniel aliona wakati wa kupokea majibu ya maombi yangu ni sasa kwahyo haijalishii k**a wakuu wa uajemi wameshikilia majibu yangu hapo juu ilaa mimi naomba mpaka majibu yapatikane, sio yapatikane kesho nataka yapatikane Leo

Nawewe pambana Mpaka majibu yapatikane Leo
K**a majibu yako yameshikiliwa kwa Jina La Yesu Yanaachiwa Leo

K**a ulikata Tamaa maana yake unamuachia Shetani ushindi Usikate Tamaa songa mbere na Bwana

Haijalishii umedhalauliwa Leo
Nasema Iko Kesho yako ya Kuheshimika na walio kudhalau
Iko siku yako ya heshima

Mungu akubarikii kwa kuendelea Kufwatilia Masomo Yetu,

SOMO HILII NI ENDELEVU HUU NI UTANGULIZI KWAHYO HAKIKISHA UNAFWATILIA KILA MUDA

KARIBU KWENYE GROUP LA WHATSAP
0742911147 TUMA MESEJI WHATSAP KUWA NIUNGE ntakuunga

Na page yetu ya Facebook Link yake hii hapa
Hakikisha una Like na Kutu Follow Ilii uwe wa kwanza kupata masomo Yetu

MT DANIELY SIAME
0742911147

16/08/2024

Man Of God

Kukimbia Maono Ambayo Mungu Ameweka Ndani YakoAu Kukimbia Uwekezaji Ambao Mungu ameufanya Ndani yakoNi Sawa na mtu Ambae...
06/08/2024

Kukimbia Maono Ambayo Mungu Ameweka Ndani Yako
Au Kukimbia Uwekezaji Ambao Mungu ameufanya Ndani yako

Ni Sawa na mtu Ambae Yuko kwa mguu Lakini Anataka ashindane Na V8 Gari, Na Anataka Aone NANI Atakuwa Mshindi

Ngoja nikwambie Mungu Kwaajili tuu ya Uwekezaji Kwako, Anaweza Hata Akakufufua kutoka kaburinii Na Akakufanya uwe hai, Nenda Kamuulize lazaro Atakwambia

Lazima Awepo mtu wa Kutimiza maono Ambayo Mungu Amempa

Unalindwa sio kwasababu ya Urembo Ulio nao Au U HB, Unadlindwa Ni kwasababu Ya Kile Kitu ambacho Mungu Ameweka Ndani yako, Na Mungu hawezi Akaruhusu Ukadhurika Kirahisii

Pamoja na kwamba Yona Alikaa siku Tatu kwenye Tumbo la Nyangumi, Lakini Mungu alihakikisha Anamtengenezea Hewa Itakayo sababisha Aendelee kupumua, akiwa chini ya baharii

Ngoja Nikwambie

Kuna mahalii unaweza Ukapita kwenye Maisha Magumu kiasi kwamba Kula kwako na Kulala kwako Kumekuwa Kwa shida
Hadi ukatamani Kujiua

Lakini Hata Ukifanya Hivo hauwezi Kufa, Kwasababu Bado uwekezaji Ambao Mungu ameufanya Ndani yako Niwa GHARAMA KUBWA LAZIMA AHAKIKISHE ANAKUTAZAMA KILA UNAPO PITA JICHO LA BWANA HALIWEZI KUKUACHA, hapo ndo adui zako Wakijichanganya Ndo Utasikia Lile Neno La KUSEMA UMEGUSA MBONI YA JICHO LA MUNGU

Sikia Nikwambie Utapita mahali Pagumu, lakini Hautakufa, Hata unaweza Kosa Chakula Kwa Miaka mingii Lakini Bado HAUTAKUFA, Unajiuliza Kwanini Napitia hayaa Yote, Ni kwasababu Wewee Thamani Yako Ni Zaidi ya dhahabu Lazima Upikwe Kisawa sawa Ilii Ufanyike Ushuhuda Kwa Watu wanao Kuzunguka

Mwl Daniely Siame

06/05/2024
In Tukuyu
06/05/2024

In Tukuyu

10/01/2024

Usije amini Kitu Tofauti na Neno la Mungu
Pia shika sana ulicho nacho

Ni kati ya siku ambayo Mungu alijifunua kwa nguvu zake za Ajabu siji kusahau
10/01/2024

Ni kati ya siku ambayo Mungu alijifunua kwa nguvu zake za Ajabu siji kusahau

Address

MBEYA
Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MT Daniely Siame posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Place Of Worship

Send a message to MT Daniely Siame:

Share