25/05/2026
ANNOITING
Matendo 10.38
• Upako ni uwezesho wa Mungu wakutimiza kile uliagizwa
• Upako unaenda na Assigment
Isaya 61.1
Upako unakupa
1. Nafasi
2. Nguvu
3. Kibali
4. Hekima
Yoh 3.1
AINA ZA UPAKO
• Upako unakaa ndan ya mtu
Kumtengeneza mtu na yanakaa ndan
1yoh 2.27
1yoh 4.
1Sam.10.6
• Upako unaokaa juu ya mtu-huu ni upako wa utendaji
Kufanya huduma,kueneza injili
Luka 5.27
Kuutambua upako na kuutumia jns mungu anataka
Ezekiel 1.16
• Upako wa kushirikiana-unakuja ili kitu flan kitendeke
• Upako wa kikuhani: ni kufanya ibada
• Upako wa kifalme: ni kuamua mambo
1wafalme 19.15-17
LEVEL ZA UPAKO
1. Upako wa hazael
2. Upako wa Yehu
3. Upako wa Elisha
Zab 45.7
Zabur 105.45
Isaya 10.27